Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah yani kama Kweli Mungu yupo, Hakuna anayeenda Mbinguni Walahi
Anhaa...basi sawa waendelee tu kulificha..kama it benefits them haina shida.Hili jukwaa limefichwa Sana hata sijui malengo ya wahusika ni nini?
Inabidi mpaka uwaombe Mods wakuunganishe
Nadhan kuna hofu Fulani ambayo wanayo ndio maana hawaliweki Sana wazi hili jukwaa hope IPO siku wataona hawako sahihi ngoja tuwape Muda.Anhaa...basi sawa waendelee tu kulificha..kama it benefits them haina shida.
Watakuwa wamefanya Jambo la maana Sana kama 2023 wakaweka hili jukwaa liwafikie watu wengi Sana.Na
jukwaa lenyewe kitu kikipostiwa unakuta viewers 15 sasa sijui wao lengo ni lip
Mkuu kwani kipi kibaya kinasemwa humu,wakristo wanakumbushana Imani Yao na waislamu pia vile vileKuogopa polisi na mifisiemu
Dhambi kubwa ni kumsujudia Allah
Kwahyo ukitubu sekunde ya mwisho kabla ya kufa hauendi mbinguni?Wapo mkuu ingawa WA wamotini ni wengi zaidi.
Kubwa ni kujitahidi kutenda mema na kuacha mabaya au maovu na kutubia kwake,nafasi hiyo IPO Ila pale ambapo roho inapotaka kumtoka mtu ndio mlango wa Toba umefungwa,hata mwamb Firauni baada ya kuona anazamishwa na maji akaanza kutubu lakini wazigua WA handeni Tanga wanasema "it's too late to catch the train'' kwahiyo imekula kwake
Yaani aliyeua na aliyeiba buku wote sawa?all sins are the same before the eyes of God. God does not judge you if you commit sin. Because he knows its not you but the devil's nature in you.
Kwahyo ukitubu sekunde ya mwisho kabla ya kufa hauendi mbinguni?
Allah hawezi nilipa kitu kwa kuwa simdai kitu na hana influence yoyote wanguAllah akulipe unacho stahili amiin
Tumwachie yeye mkuu just reluxAllah hawezi nilipa kitu kwa kuwa simdai kitu na hana influence yoyote wangu
Haya ni mawazo yako au Mungu ndio amesema hivi?Hauendi kwasababu si umeshaona maji yapo shingoni?
Unatakiwa utubu Hali ya kuwa bado upo hai hapo unaonyesha dhamira yako njema ya kumwamini Mungu na kumuogopa pia