- Thread starter
- #21
Aisee! Nimeelewa kitu hapaDhambi ambayo shetani nae hua anafunga macho
Na uhuni wangu uko sipigi ata iweje na sitaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee! Nimeelewa kitu hapaDhambi ambayo shetani nae hua anafunga macho
Na uhuni wangu uko sipigi ata iweje na sitaki
Kwanza kabisa ni uti za mara kwa mara zitakusumbuanawasalimu kwa jina la jmt!
Tumeona na kuelimishwa na nyuzi nyingi sana humu kuhusu madhara wayapatayo wanaoingiliwa kinyume na maumbile. Hebu leo tufahamishane kuhusu madhara ya kiafya kwa upande wa anayeingilia. Ahsante!
Kwanza kabisa ni uti za mara kwa mara zitakusumbua
usipokuwa msafi katika huo mchezo unaweza kupata kansa ya kibofu cha mkojo au uume kwa ujumla
na kubwa kuliko ni kuziba kwa mrija au kuharibika kwa mirija ya kupitisha mkojo(ndani ya uume) hivyo ili kuweza kukojoa ni lazma utobolewe pembeni ya tumbo na kuwekewa mirija kwa ajili ya kukojolea au uingizwe mrija kwenye tundu la uume kwa ajili ya kukojoa
Kwa mwanamke
katika kujifungua njia zote mbili wakati wa kujifungua zinakuwa wazi hivyo mwanamke anaweza kunya sana na kutoa mavi mengi mno wakati wa kujifngua na wakati mwengine mtoto kukosea njia na kusababisha kifo kwa ote wawili.
uti za mara kwa mara na kupelekea kansa ya shingo ya kizazi
kutoka na maji mknduni hata akiwa amekaa tu kwenye kiti au kutembea hali inayopelekea kutumia pampas
Ahsante sana sana kwa Elimu hii. Ubarikiwe mkui!Kwanza kabisa ni uti za mara kwa mara zitakusumbua
usipokuwa msafi katika huo mchezo unaweza kupata kansa ya kibofu cha mkojo au uume kwa ujumla
na kubwa kuliko ni kuziba kwa mrija au kuharibika kwa mirija ya kupitisha mkojo(ndani ya uume) hivyo ili kuweza kukojoa ni lazma utobolewe pembeni ya tumbo na kuwekewa mirija kwa ajili ya kukojolea au uingizwe mrija kwenye tundu la uume kwa ajili ya kukojoa
Kwa mwanamke
katika kujifungua njia zote mbili wakati wa kujifungua zinakuwa wazi hivyo mwanamke anaweza kunya sana na kutoa mavi mengi mno wakati wa kujifngua na wakati mwengine mtoto kukosea njia na kusababisha kifo kwa ote wawili.
uti za mara kwa mara na kupelekea kansa ya shingo ya kizazi
kutoka na maji mknduni hata akiwa amekaa tu kwenye kiti au kutembea hali inayopelekea kutumia pampas
Ahsante kwa ushauri, lakini watu makini pia hawakosekani mkuu; unaweza kuona michango murua ya wadau hapo juu.Nenda kamuulize daktar humu watu wanapenda ujinga
😂😂😂😂😂😂😂 umeongea kwa hurumaKwanza ni dhambi, hiyo njia siyo kazi yake hiyo pia Dudu lako litaziba sababu ya vipande vya makimba kubakia ndani na kuziba njia. Tatu utakua unanuka nnya kila ukijinusa.
But Why usitumie njia halali tu? Tena ni elastic material inakupimia tu size yako mkuu
Ahsante!Kwanza ni dhambi, hiyo njia siyo kazi yake hiyo pia Dudu lako litaziba sababu ya vipande vya makimba kubakia ndani na kuziba njia. Tatu utakua unanuka nnya kila ukijinusa.
But Why usitumie njia halali tu? Tena ni elastic material inakupimia tu size yako mkuu
Yeah, kipengele muhimu sana hicho kwa wadauBalaa ni kuwa pepo utaisikia tu😅
Sipo huko mkuu, hapa ni katika harakati tu za kuzidi kujipatia sababu za kwanini nisiwepo huko. Naamini itasaidia kuwakumbusha wengine pia humu.....msukumo wa hayo mambo ni mkubwa sana Siku hizi, tena kutoka kwa wafanywaji wenyewe.Shukrani haitoshi bali je utaacha??!!.
😃😃😃😃😃Mbona huulizii madhara ya kula msosi kwa kuupeleka masikioni au puani? Because it doesn't make no sense, does it?
Anayeingilia hatamaniki mbinguni au hata kwenye jamii kwani anakuwa ananuka mavi muda wote, hata aoge vipi yeye na harufu ya mavi ni mapacha.nawasalimu kwa jina la jmt!
Tumeona na kuelimishwa na nyuzi nyingi sana humu kuhusu madhara wayapatayo wanaoingiliwa kinyume na maumbile. Hebu leo tufahamishane kuhusu madhara ya kiafya kwa upande wa anayeingilia. Ahsante!
HATARI SANA [emoji3517][emoji88]Kwanza kabisa ni uti za mara kwa mara zitakusumbua
usipokuwa msafi katika huo mchezo unaweza kupata kansa ya kibofu cha mkojo au uume kwa ujumla
na kubwa kuliko ni kuziba kwa mrija au kuharibika kwa mirija ya kupitisha mkojo(ndani ya uume) hivyo ili kuweza kukojoa ni lazma utobolewe pembeni ya tumbo na kuwekewa mirija kwa ajili ya kukojolea au uingizwe mrija kwenye tundu la uume kwa ajili ya kukojoa
Kwa mwanamke
katika kujifungua njia zote mbili wakati wa kujifungua zinakuwa wazi hivyo mwanamke anaweza kunya sana na kutoa mavi mengi mno wakati wa kujifngua na wakati mwengine mtoto kukosea njia na kusababisha kifo kwa ote wawili.
uti za mara kwa mara na kupelekea kansa ya shingo ya kizazi
kutoka na maji mknduni hata akiwa amekaa tu kwenye kiti au kutembea hali inayopelekea kutumia pampas