Ni yapi madhara ayapatayo mwanaume kwa kumuingilia mke kinyume na maumbile?

Ni yapi madhara ayapatayo mwanaume kwa kumuingilia mke kinyume na maumbile?

nawasalimu kwa jina la jmt!

Tumeona na kuelimishwa na nyuzi nyingi sana humu kuhusu madhara wayapatayo wanaoingiliwa kinyume na maumbile. Hebu leo tufahamishane kuhusu madhara ya kiafya kwa upande wa anayeingilia. Ahsante!
Kwanza kabisa ni uti za mara kwa mara zitakusumbua

usipokuwa msafi katika huo mchezo unaweza kupata kansa ya kibofu cha mkojo au uume kwa ujumla

na kubwa kuliko ni kuziba kwa mrija au kuharibika kwa mirija ya kupitisha mkojo(ndani ya uume) hivyo ili kuweza kukojoa ni lazma utobolewe pembeni ya tumbo na kuwekewa mirija kwa ajili ya kukojolea au uingizwe mrija kwenye tundu la uume kwa ajili ya kukojoa

Kwa mwanamke
katika kujifungua njia zote mbili wakati wa kujifungua zinakuwa wazi hivyo mwanamke anaweza kunya sana na kutoa mavi mengi mno wakati wa kujifngua na wakati mwengine mtoto kukosea njia na kusababisha kifo kwa ote wawili.

uti za mara kwa mara na kupelekea kansa ya shingo ya kizazi

kutoka na maji mknduni hata akiwa amekaa tu kwenye kiti au kutembea hali inayopelekea kutumia pampas
 
Kwanza kabisa ni uti za mara kwa mara zitakusumbua

usipokuwa msafi katika huo mchezo unaweza kupata kansa ya kibofu cha mkojo au uume kwa ujumla

na kubwa kuliko ni kuziba kwa mrija au kuharibika kwa mirija ya kupitisha mkojo(ndani ya uume) hivyo ili kuweza kukojoa ni lazma utobolewe pembeni ya tumbo na kuwekewa mirija kwa ajili ya kukojolea au uingizwe mrija kwenye tundu la uume kwa ajili ya kukojoa

Kwa mwanamke
katika kujifungua njia zote mbili wakati wa kujifungua zinakuwa wazi hivyo mwanamke anaweza kunya sana na kutoa mavi mengi mno wakati wa kujifngua na wakati mwengine mtoto kukosea njia na kusababisha kifo kwa ote wawili.

uti za mara kwa mara na kupelekea kansa ya shingo ya kizazi

kutoka na maji mknduni hata akiwa amekaa tu kwenye kiti au kutembea hali inayopelekea kutumia pampas

Imeisha hiyo
 
Kwanza kabisa ni uti za mara kwa mara zitakusumbua

usipokuwa msafi katika huo mchezo unaweza kupata kansa ya kibofu cha mkojo au uume kwa ujumla

na kubwa kuliko ni kuziba kwa mrija au kuharibika kwa mirija ya kupitisha mkojo(ndani ya uume) hivyo ili kuweza kukojoa ni lazma utobolewe pembeni ya tumbo na kuwekewa mirija kwa ajili ya kukojolea au uingizwe mrija kwenye tundu la uume kwa ajili ya kukojoa

Kwa mwanamke
katika kujifungua njia zote mbili wakati wa kujifungua zinakuwa wazi hivyo mwanamke anaweza kunya sana na kutoa mavi mengi mno wakati wa kujifngua na wakati mwengine mtoto kukosea njia na kusababisha kifo kwa ote wawili.

uti za mara kwa mara na kupelekea kansa ya shingo ya kizazi

kutoka na maji mknduni hata akiwa amekaa tu kwenye kiti au kutembea hali inayopelekea kutumia pampas
Ahsante sana sana kwa Elimu hii. Ubarikiwe mkui!
 
Kwanza ni dhambi, hiyo njia siyo kazi yake hiyo pia Dudu lako litaziba sababu ya vipande vya makimba kubakia ndani na kuziba njia. Tatu utakua unanuka nnya kila ukijinusa.
But Why usitumie njia halali tu? Tena ni elastic material inakupimia tu size yako mkuu
😂😂😂😂😂😂😂 umeongea kwa huruma
 
Kwanza ni dhambi, hiyo njia siyo kazi yake hiyo pia Dudu lako litaziba sababu ya vipande vya makimba kubakia ndani na kuziba njia. Tatu utakua unanuka nnya kila ukijinusa.
But Why usitumie njia halali tu? Tena ni elastic material inakupimia tu size yako mkuu
Ahsante!
Zote hizi ni harakati za kujihakikishia kubaki njia kuu mdau.....sasa natafuta na sababu ya kiafya kabisa. Lengo ni kunyooka, sio kupotoka.
 
Shukrani haitoshi bali je utaacha??!!.
Sipo huko mkuu, hapa ni katika harakati tu za kuzidi kujipatia sababu za kwanini nisiwepo huko. Naamini itasaidia kuwakumbusha wengine pia humu.....msukumo wa hayo mambo ni mkubwa sana Siku hizi, tena kutoka kwa wafanywaji wenyewe.
 
nawasalimu kwa jina la jmt!

Tumeona na kuelimishwa na nyuzi nyingi sana humu kuhusu madhara wayapatayo wanaoingiliwa kinyume na maumbile. Hebu leo tufahamishane kuhusu madhara ya kiafya kwa upande wa anayeingilia. Ahsante!
Anayeingilia hatamaniki mbinguni au hata kwenye jamii kwani anakuwa ananuka mavi muda wote, hata aoge vipi yeye na harufu ya mavi ni mapacha.
 
Kwanza kabisa ni uti za mara kwa mara zitakusumbua

usipokuwa msafi katika huo mchezo unaweza kupata kansa ya kibofu cha mkojo au uume kwa ujumla

na kubwa kuliko ni kuziba kwa mrija au kuharibika kwa mirija ya kupitisha mkojo(ndani ya uume) hivyo ili kuweza kukojoa ni lazma utobolewe pembeni ya tumbo na kuwekewa mirija kwa ajili ya kukojolea au uingizwe mrija kwenye tundu la uume kwa ajili ya kukojoa

Kwa mwanamke
katika kujifungua njia zote mbili wakati wa kujifungua zinakuwa wazi hivyo mwanamke anaweza kunya sana na kutoa mavi mengi mno wakati wa kujifngua na wakati mwengine mtoto kukosea njia na kusababisha kifo kwa ote wawili.

uti za mara kwa mara na kupelekea kansa ya shingo ya kizazi

kutoka na maji mknduni hata akiwa amekaa tu kwenye kiti au kutembea hali inayopelekea kutumia pampas
HATARI SANA [emoji3517][emoji88]

Kwa kuongezea tu ni mojawapo ya dhambi isiyokua na msamaha kabisa mbele za MUNGU hata uombe aje na kutubu, heri aliyeua watu 1000 akitubu atasamehewa kuliko alie firana.
 
Back
Top Bottom