Ni yapi madhara ayapatayo mwanaume kwa kumuingilia mke kinyume na maumbile?

Ni yapi madhara ayapatayo mwanaume kwa kumuingilia mke kinyume na maumbile?

nawasalimu kwa jina la jmt!

Tumeona na kuelimishwa na nyuzi nyingi sana humu kuhusu madhara wayapatayo wanaoingiliwa kinyume na maumbile. Hebu leo tufahamishane kuhusu madhara ya kiafya kwa upande wa anayeingilia. Ahsante!
Madhara ni mengi. Kwanza ni upumbavu wa kufanya jambo ambalo hata mnyama wa hovyo kama mbwa hawezi kufanya hata akifanya si binadamu. Pili ni laana ya wazi wazi. Hivi kumxxa zimeisha hadi upoteze muda kuzibua vyoo? Aanayeingiliwa kinyume vile vile anapata balaa sawa na anayemuingilia. Tatu, wote wanajiweka kwenye wasi wasi juu ya nini kitatokea. Kimsingi, wanaotenda upumbavu huu ni wa kuuawa. Haya si mawazo yangu. Rejea kilichotokea sodoma na gomora ambako mchezo huu ulianzia hadi ukaitwa sodomy. Kama umefanya hivyo ni bora ujinyonge kwani licha ya kunuka mavi huna maana hata hayawani wanakuzidi thamani.
 
nawasalimu kwa jina la jmt!

Tumeona na kuelimishwa na nyuzi nyingi sana humu kuhusu madhara wayapatayo wanaoingiliwa kinyume na maumbile. Hebu leo tufahamishane kuhusu madhara ya kiafya kwa upande wa anayeingilia. Ahsante!
Mwanamme anayefila naye huwaza akifilwa atajisikiaje, yaani anakuwa na hamu ya kufilwa na yeye. Si unoana hata hapo ulipo unawaza kufilwa na ndiyo maana umekuja kuuliza hapa, usione haibu gawa tu mkundu tu huo.
 
Jibu
Mwanamke madhara atakayopata yanahusu tu mfumo wa uzazi (wakati wakujifungua na vichochezi vya kikemikali hasa kufika kileleni), haja kubwa na ubongo:-
  • Kulegea kwa misuli ya anul (anal sphincter) hivyo kupunguza uwezo wakujizuia haja kubwa
  • Kupata michubuko sehemu ya aja kubwa
  • uwezekano wakupata mambukizi ya magonjwa ya zinaa
  • maumivu wakati wa kujisaidia na wakati wa tendo hii inatokana na asili ya eneo hilo halina kilainishi
  • matatizo ya kisaikolojia na hii inaenda sawa na ukatili wa kingono
  • wakati wa kujifungua kushindwa kutumia njia ya kawaida na kufanyiwa surgery
  • kuzaa mtoto mlemavu wa akili ikiwa atatumia njia yakawida na akashindwa kusukuma mtoto na kumyima mtoto oxygen
  • maambukizi ya njia ya mkojo na uzazi kutokana na uchafu uanotoka nyuma
madhara kwa mwanaume inagusa mfumo wa uzazi, mkojo na ubongo
  • Maambukizi ya magonjwa ya zinaa
  • kupata matatizo njia ya uzazi na njia ya mkojo
  • kupunguza nguvu za kiume kutokana na joto kali na pressure kuwa kubwa eneo hilo
  • saikolojia, urahibu
  • nk
Ni vyema tujiepushe na mambo yaliyo kinyume na uumbaji wetu ni sawa kuamua kutembelea kichwa unaweza pata picha nini kitatokea
 
Mtaani watu wanafirana sana lakini wenye hayo madhara hatuwaoni, tunatishana tu.

Jitafunie tigo mwana hiyo kitu ni tunu ya taifa
 
Kwanza kabisa ni uti za mara kwa mara zitakusumbua

usipokuwa msafi katika huo mchezo unaweza kupata kansa ya kibofu cha mkojo au uume kwa ujumla

na kubwa kuliko ni kuziba kwa mrija au kuharibika kwa mirija ya kupitisha mkojo(ndani ya uume) hivyo ili kuweza kukojoa ni lazma utobolewe pembeni ya tumbo na kuwekewa mirija kwa ajili ya kukojolea au uingizwe mrija kwenye tundu la uume kwa ajili ya kukojoa

Kwa mwanamke
katika kujifungua njia zote mbili wakati wa kujifungua zinakuwa wazi hivyo mwanamke anaweza kunya sana na kutoa mavi mengi mno wakati wa kujifngua na wakati mwengine mtoto kukosea njia na kusababisha kifo kwa ote wawili.

uti za mara kwa mara na kupelekea kansa ya shingo ya kizazi

kutoka na maji mknduni hata akiwa amekaa tu kwenye kiti au kutembea hali inayopelekea kutumia pampas
Akitumia condom inakuwaje?
 
1Wakorintho 6:9 "Au hamjui yakuwa wadhalimu hawatauridhi ufalme wa Mungu wala wabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti."
 
Mada ilikuwa inaelezea athari zake, ila nyingi nikaona zimejikitisha kwenye kupiga kavu, ndio maana nikauliza vile.
Madhala yake hasahasa n kujifungua kwa wanawake hushindwa kusukuma mtoto hvyo mpk operation,lakini pia inasemekana wanawake hupata maumivu makali japo wengine wamezoea,mn kumfira mwanamke ni km unaforce kupitisha tofauti na sehemu asilia ,wazoefu wataeleza zaidi waliowahi kulawiti
 
1Wakorintho 6:9 "Au hamjui yakuwa wadhalimu hawatauridhi ufalme wa Mungu wala wabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti."

Doh kumbe sio wafiraji bali na wazinzi hawata urithi ufalme wa Mbingu....Basi kukemee na uzinzi
 
Back
Top Bottom