Ni yapi madhara ayapatayo mwanaume kwa kumuingilia mke kinyume na maumbile?

Kwa nini uingize tupu yako sehemu ya kutolea taka?


Kwa nini ukubali kuingizia tupu sehemu yako ya haja kubwa?????
 
nawasalimu kwa jina la jmt!

Tumeona na kuelimishwa na nyuzi nyingi sana humu kuhusu madhara wayapatayo wanaoingiliwa kinyume na maumbile. Hebu leo tufahamishane kuhusu madhara ya kiafya kwa upande wa anayeingilia. Ahsante!
kiimani unakuwa umekata tiketi ya moja kwa moja kuzimu maana imeandikwa ole wao wafilaji.
 
Kama jamaa hapo juu alishakuwa mtumiaji now kaacha, Kuna matibabu gani anatakiwa afanye ili asipate athari hizo mbeleni huko
 
Mtu kala mchembe, makande , ugali wa dona na misumari ya kuwasha
Lazima dushe ligwae
Nawashangaa mnaupiga huku wengine hadi modomoni, masikioni sijui mnatafuta nn si mfunge mashine za kukamulia maziwa ieleweke moja
 
HATARI SANA [emoji3517][emoji88] Kwa kuongezea tu ni mojawapo ya dhambi isiyokua na msamaha kabisa mbele za MUNGU hata uombe aje na kutubu, heri aliyeua watu 1000 akitubu atasamehewa kuliko alie firana.
 
Siwezi kuacha ngo'oo me na baby mama wangu tuna kama 3 years tunafanya huo mchezo hasa akiwa kwenye siku zake...inanisaidia sana maana sichepuki kabisa mimi..
 
Hakuna madhara yyt maana ukiingiliwa kinyesi bahati mbaya utakojoa yatatoka hivo hakuna madhara zingine huwa ni kutishana tu
 
nawasalimu kwa jina la jmt!

Tumeona na kuelimishwa na nyuzi nyingi sana humu kuhusu madhara wayapatayo wanaoingiliwa kinyume na maumbile. Hebu leo tufahamishane kuhusu madhara ya kiafya kwa upande wa anayeingilia. Ahsante!
Kuna jamaa aliwahi mla kwa mpalange demu kumbe alikuwa mapera. Wakati wa game punje zikaingia kwenye urethra ya mwanaume. Kuitoa ilikuwa shughuli hadi upasuaji.


Madhara ndo kama hayo
2. UTI
3. MAGONJWA YA ZINAA
 
nawasalimu kwa jina la jmt!

Tumeona na kuelimishwa na nyuzi nyingi sana humu kuhusu madhara wayapatayo wanaoingiliwa kinyume na maumbile. Hebu leo tufahamishane kuhusu madhara ya kiafya kwa upande wa anayeingilia. Ahsante!
Athari kubwa ni kupata penis carcinoma πŸ˜‚πŸ˜‚.

Jokes!πŸ˜€
 
Huko ndiyo sehemu yake sahihi na tope hutoelewa likitaka kutoka naturally ila likiingia kwenye PIPE hakuna mechanism naturally ya kuondoa zaidi ya Kupigwa BOMBA.
aha sasa linazibaje ina maana unavyokojoa halitoki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…