Shikamoo kakaKizungu tu Tupo wengi: its is vulga and nonsesco to upang this vulture apctment, for we know in reality it to be genuine and authentic, any contrary to the voulch apactment would be miappropriation, misscomputation and malprophisim. I submit
Yaani hata mwenye chama kaachwa hoi anaona nyota nyota na vipande vipande vya " saccos" ambavyo inabidi aviokote na kuviunganishaMnyoa kiduku keshasambaratisha chama na keshasepa. Makamanda wamebaki wamebun'gaa.
Ambao ni wahisani wetu au siyo?2025 utashangaa Lissu na wakimbizi wenzake wanarudi kwa mbwembwe nyingi wakijifanya wao ni wakombozi. Likibuma, wanatimka kurudi kwa wafadhili wao.
Ni wahisani wa Lissu na genge lake.Ambao ni wahisani wetu au siyo?
Ndo maana KIONGOZI yeyote yule anaewania au anaeongoza NCHI ILOJAA watu kama WEWE , wa aina yako ni MAJANGA!2025 utashangaa Lissu na wakimbizi wenzake wanarudi kwa mbwembwe nyingi wakijifanya wao ni wakombozi. Likibuma, wanatimka kurudi kwa wafadhili wao.
Usijali werevu kama nyingi mpo, mmeka mnasibu baba arudi kutoka Ulaya alete zawadi.Ndo maana KIONGOZI yeyote yule anaewania au anaeongoza NCHI ILOJAA watu kama WEWE , wa aina yako ni MAJANGA!
Naona dictionaries zinashindana hapaKizungu tu Tupo wengi: its is vulga and nonsesco to upang this vulture apctment, for we know in reality it to be genuine and authentic, any contrary to the voulch apactment would be miappropriation, misscomputation and malprophisim. I submit
My writings are all about Lissu's fitness for political posts. It is not about who won the election. Winning can happen in favour of unfit or even a stupid person. It just depends on the quality of voters.Who won the elections? Who counted the votes? Who violated the election laws? Who resists electoral reforms? Who owns the NEC? Why security forces interfere with elections if what you say is true?
Unless you respond to these questions you have no right to crane your neck in victory
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Duh! we kiboko!Kizungu tu Tupo wengi: its is vulga and nonsesco to upang this vulture apctment, for we know in reality it to be genuine and authentic, any contrary to the voulch apactment would be miappropriation, misscomputation and malprophisim. I submit
Kwa hiyo kaenda kujipanga nje ya nchi? Mbona alikuwa na tiketi hata kabla ya uchaguzi na alisema anakwenda kwenye tiba? Naomba tusiwe na ushabiki na mtu ambaye anachowaza ni kwa manufaa yake. Imefikia tunayumba kumfuata bila kujua anachokifanya kina lengo gani.Kwenye nchi za madictator kukimbia na kujipanga ni mbinu za kawaida kabisa. Rejea Kabila baba alivyomkimbia dictator Mobutu na kurejea kuikomboa DRC. Rais wa sasa wa DRC naye ni mfano wa hilisi wa mapambano dhidi ya madictator.
Kwa hiyo kaenda kujipanga nje ya nchi? Mbona alikuwa na tiketi hata kabla ya uchaguzi na alisema anakwenda kwenye tiba? Naomba tusiwe na ushabiki na mtu ambaye anachowaza ni kwa manufaa yake. Imefikia tunayumba kumfuata bila kujua anachokifanya kina lengo gani.