Ni 'yeye' the cantankerous Lissu, the Politician

Ni 'yeye' the cantankerous Lissu, the Politician

I admire French philosopher and mathematician René Descartes' methodical doubt.​

The problem is the fact that even great philophers like Plato and Socrates were victims of their times.
 
Ni wapi nimesema kila afanyacho Lisu ni sawa? Kutawala nchi hii kuna ugumu gani, tuna silaha za nuklia mpaka mtu yoyote mwenye akili timamu ashindwe kuiongoza?
Yako wapi, Boss? Hebu eleza tena uzuri na uiamara wa CHADEMA. Chama kilichoparaganyika. Chama kinachoendeshwa kama mambo mtoni, anayeweza kuwahi chochote anapata. Akinamama wameshawahi na kumuacha Katibu njia panda. Mwenyekiti kimyaa! Kwa mbaaali anachungulia kuona kama dili hili litajulikana alivyoshiriki.

Lissu is a good loser, we now can see an idiot!
 
Yako wapi, Boss? Hebu eleza tena uzuri na uiamara wa CHADEMA. Chama kilichoparaganyika. Chama kinachoendeshwa kama mambo mtoni, anayeweza kuwahi chochote anapata. Akinamama wameshawahi na kumuacha Katibu njia panda. Mwenyekiti kimyaa! Kwa mbaaali anachungulia kuona kama dili hili litajulikana alivyoshiriki.

Lissu is a good loser, we now can see an idiot!

Kimeparaganyika kwa kura za kwenye mabeg na wizi wa kura?
 
Back
Top Bottom