Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena wamepoteana balaa wamebaki na twit za ubalozi wa Marekani. Ambassador wa US doesn't know his future too.Mnyoa kiduku keshasambaratisha chama na keshasepa. Makamanda wamebaki wamebun'gaa.
Yako wapi, Boss? Hebu eleza tena uzuri na uiamara wa CHADEMA. Chama kilichoparaganyika. Chama kinachoendeshwa kama mambo mtoni, anayeweza kuwahi chochote anapata. Akinamama wameshawahi na kumuacha Katibu njia panda. Mwenyekiti kimyaa! Kwa mbaaali anachungulia kuona kama dili hili litajulikana alivyoshiriki.Ni wapi nimesema kila afanyacho Lisu ni sawa? Kutawala nchi hii kuna ugumu gani, tuna silaha za nuklia mpaka mtu yoyote mwenye akili timamu ashindwe kuiongoza?
Yako wapi, Boss? Hebu eleza tena uzuri na uiamara wa CHADEMA. Chama kilichoparaganyika. Chama kinachoendeshwa kama mambo mtoni, anayeweza kuwahi chochote anapata. Akinamama wameshawahi na kumuacha Katibu njia panda. Mwenyekiti kimyaa! Kwa mbaaali anachungulia kuona kama dili hili litajulikana alivyoshiriki.
Lissu is a good loser, we now can see an idiot!