Ni 'yeye' the cantankerous Lissu, the Politician

Mental disorder begins like this
 
Kizungu tu Tupo wengi: its is vulga and nonsesco to upang this vulture apctment, for we know in reality it to be genuine and authentic, any contrary to the voulch apactment would be miappropriation, misscomputation and malprophisim. I submit
Being so I comprehend
 
The past has gone, Boss! If you and Lissu clan could not foresee the failure, something needs to be done on your optic nerve!
 
Kwenye nchi za madictator kukimbia na kujipanga ni mbinu za kawaida kabisa. Rejea Kabila baba alivyomkimbia dictator Mobutu na kurejea kuikomboa DRC. Rais wa sasa wa DRC naye ni mfano wa hilisi wa mapambano dhidi ya madictator.
Mtasubiri sana Lissu AJIPANGE! Yeye kaenda kuishi huko, siyo kujipanga, sana sana atakachoweza kufanya ni kuwa BUSY ALL HIS LIFE kwenye komputa yake na kuandika atakayotumwa na akina BOB ili alipwe, kwani, ngoja nikwambie "there is no FREE LUNCH" huko kwenye ulimwengu wa wenzetu. Unalipia kila kitu! Sasa utalipaje au Lissu atalipaje, atajua mwenyewe!
 
Ni kweli haki yenu watu MILIONI MOJA (1,000,000) italindwa na mtapata haki sawa AS LONG AS MTAHESHIMU SHERIA ZA NCHI. Vinginevyo, sheria na taratibu za nchi za kushughulikia waleta fujo wachache zitafuatwa. Hili halina mjadala wala hoja kwani ni utaratibu wa KIDUNIA; hata huko Ughaibuni utaratibu ni huo huo, haijarishi ulikuwa mgombea au mpiga kura. Halafu, ni utaratibu gani huu ulioibuka siku hizi!? Mtu akitishiwa tu na mlevi mwenzake huko kwenye ulevi, basi anaibuka na kusema nimetishiwa maisha na KUKIMBIA NCHI! Hiki ni nini jamani, mbona sielewi!? Mtakimbia wangapi!? Hata huko unakokimbilia watastuka jamani!
 

Wakati Moi anatesa wapinzani wake hapo Kenya, alikuwa na wapambe kama ww na maelezo kama haya haya ya kwako.
 
Hakuna mtu atakuwa na muda wa kushiriki maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Ila la kuandamana ni sawa? Hata hao watu weupe SI UMEWAONA wanakimbilia kwa Pilato baada ya kupigwa TKO kwenye box la kura!
 
Hii lugha yako bhana, imeharibu mazungumzo. JF tumezoea mabishano. Sasa wewe kweli unataka tujaribu kubishana kwa english! Hapana. Ngoja tuone. Tutalazimisha tu hadi tujadili kwa kiswahili.
 
kuna watu humu ni waajabu sana, yaani ikitokea wakatishiwa tu hata kwa maneno na mtu wa hovyo hovyo kuwa usiku wa leo haupiti utakiona, hulala wakiwa roho juu juu kuna wengine hufikia hatua mbaya hata ya kuukimbia mji,

lakini wanataka lissu akae linchi ambalo watawala wake wameonyesha dhahiri kutaka uhai wake tangu awali..hivi kweli inaingia akilini hii????
 
you naired it
 
Hakuna mtu atakuwa na muda wa kushiriki maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Sawa lakini hili litategemea sana ushauri au amri atakayopewa Lissu na akina Boooob na timu yake. Nyie ngojeni amri tu kutoka kwa Mbeligiji, Lissu huko Brussels na London kwa Boooob! Vinginevyo sisi tunasonga mbele na kuujenga uchumi wetu.
 
Akili ya aina hii ni tatizo! Kila anachokifanya Lissu ni sawa tu! Hata akiacha makalio nje utasema ni fasheni. Yaani unaamini kaenda kujipanga, anajipanga kufanya nini wakati alikuja akiwa hajui cha kufanya?
 
Akili ya aina hii ni tatizo! Kila anachokifanya Lissu ni sawa tu! Hata akiacha makalio nje utasema ni fasheni. Yaani unaamini kaenda kujipanga, anajipanga kufanya nini wakati alikuja akiwa hajui cha kufanya?

Ni wapi nimesema kila afanyacho Lisu ni sawa? Kutawala nchi hii kuna ugumu gani, tuna silaha za nuklia mpaka mtu yoyote mwenye akili timamu ashindwe kuiongoza?
 

I admire French philosopher and mathematician René Descartes' methodical doubt.​

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…