Mental disorder begins like thisThe only reason they won is because they cheated and stole it, and in Zanzibar under the barrel of the gun! . Lissu was not defeated at the ballot box, the only weakness he had is he didn't have TISS, NEC, Police and Wakurugenzi to rig it for him!
We the people were robbed of our democrstic choice!. Full stop
Being so I comprehendKizungu tu Tupo wengi: its is vulga and nonsesco to upang this vulture apctment, for we know in reality it to be genuine and authentic, any contrary to the voulch apactment would be miappropriation, misscomputation and malprophisim. I submit
Nimechekaje!! bora hata wangempa MembeYaani hata mwenye chama kaachwa hoi anaona nyota nyota na vipande vipande vya " saccos" ambavyo inabidi aviokote na kuviunganisha
The past has gone, Boss! If you and Lissu clan could not foresee the failure, something needs to be done on your optic nerve!Ndio kaenda kujipanga nje ya nchi. Muda wa kwenda kwenye tiba haukuwa na mahusiano na jinsi alivyoondoka hiyo jana. Tusiwe na ushabiki kwa Lisu sawa, ila tuwe na ushabiki na kura za kwenye mabeg na umwagaji damu wa wapinzani ili ccm watangazwe washindi? Huu wizi wa kura, unyama na ukatili wa wazi dhidi ya wapinzani, ulikuwa na faida ya nani?
Ni hivi, tuko wengi hatuitaki ccm, ndio maana tunataka haki yetu ya kuchagua iheshimiwe, na tunaona wazi haiheshimiwi halafu mnatuletea propaganda mfu eti wazungu wanaitaka nchi yetu, wanaitaka kwa kipi labda?
Mtasubiri sana Lissu AJIPANGE! Yeye kaenda kuishi huko, siyo kujipanga, sana sana atakachoweza kufanya ni kuwa BUSY ALL HIS LIFE kwenye komputa yake na kuandika atakayotumwa na akina BOB ili alipwe, kwani, ngoja nikwambie "there is no FREE LUNCH" huko kwenye ulimwengu wa wenzetu. Unalipia kila kitu! Sasa utalipaje au Lissu atalipaje, atajua mwenyewe!Kwenye nchi za madictator kukimbia na kujipanga ni mbinu za kawaida kabisa. Rejea Kabila baba alivyomkimbia dictator Mobutu na kurejea kuikomboa DRC. Rais wa sasa wa DRC naye ni mfano wa hilisi wa mapambano dhidi ya madictator.
Ni kweli haki yenu watu MILIONI MOJA (1,000,000) italindwa na mtapata haki sawa AS LONG AS MTAHESHIMU SHERIA ZA NCHI. Vinginevyo, sheria na taratibu za nchi za kushughulikia waleta fujo wachache zitafuatwa. Hili halina mjadala wala hoja kwani ni utaratibu wa KIDUNIA; hata huko Ughaibuni utaratibu ni huo huo, haijarishi ulikuwa mgombea au mpiga kura. Halafu, ni utaratibu gani huu ulioibuka siku hizi!? Mtu akitishiwa tu na mlevi mwenzake huko kwenye ulevi, basi anaibuka na kusema nimetishiwa maisha na KUKIMBIA NCHI! Hiki ni nini jamani, mbona sielewi!? Mtakimbia wangapi!? Hata huko unakokimbilia watastuka jamani!Ndio kaenda kujipanga nje ya nchi. Muda wa kwenda kwenye tiba haukuwa na mahusiano na jinsi alivyoondoka hiyo jana. Tusiwe na ushabiki kwa Lisu sawa, ila tuwe na ushabiki na kura za kwenye mabeg na umwagaji damu wa wapinzani ili ccm watangazwe washindi? Huu wizi wa kura, unyama na ukatili wa wazi dhidi ya wapinzani, ulikuwa na faida ya nani?
Ni hivi, tuko wengi hatuitaki ccm, ndio maana tunataka haki yetu ya kuchagua iheshimiwe, na tunaona wazi haiheshimiwi halafu mnatuletea propaganda mfu eti wazungu wanaitaka nchi yetu, wanaitaka kwa kipi labda?
Ni kweli haki yenu watu MILIONI MOJA (1,000,000) italindwa na mtapata haki sawa AS LONG AS MTAHESHIMU SHERIA ZA NCHI. Vinginevyo, sheria na taratibu za nchi za kushughulikia waleta fujo wachache zitafuatwa. Hili halina mjadala wala hoja kwani ni utaratibu wa KIDUNIA; hata huko Ughaibuni utaratibu ni huo huo, haijarishi ulikuwa mgombea au mpiga kura. Halafu, ni utaratibu gani huu ulioibuka siku hizi!? Mtu akitishiwa tu na mlevi mwenzake huko kwenye ulevi, basi anaibuka na kusema nimetishiwa maisha na KUKIMBIA NCHI! Hiki ni nini jamani, mbona sielewi!? Mtakimbia wangapi!? Hata huko unakokimbilia watastuka jamani!
KWA HIYO!???????Wakati Moi anatesa wapinzani wake hapo Kenya, alikuwa na wapambe kama ww na maelezo kama haya haya ya kwako.
KWA HIYO!???????
Sawa kwa ushauri wako ILA TUNAWEZA KUKUTANA KWENYE BY- ELECTION PIA!Kwahiyo ukae kwa kutulia na Id yako ya 2020.
Sawa kwa ushauri wako ILA TUNAWEZA KUKUTANA KWENYE BY- ELECTION PIA!
Ila la kuandamana ni sawa? Hata hao watu weupe SI UMEWAONA wanakimbilia kwa Pilato baada ya kupigwa TKO kwenye box la kura!Hakuna mtu atakuwa na muda wa kushiriki maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Hii lugha yako bhana, imeharibu mazungumzo. JF tumezoea mabishano. Sasa wewe kweli unataka tujaribu kubishana kwa english! Hapana. Ngoja tuone. Tutalazimisha tu hadi tujadili kwa kiswahili.Ni ‘yeye’ was a political rhetoric which somehow comforted Lissu’s followers. It was unfortunate that the JF moderators boarded the same wagon of rhetoric, simply by being part of thousands swayed after hoping that Lissu appealed to their prejudices. The Rule, at voting premises, was based on individual acceptance to Lissu’s logic, which never came out of this CHADEMA man.
Lissu has proven to be a cantankerous person, nonjudgmental and politically of indigestible ideas. I may say to you, Lissu supporters, that he is less genius for one to be trusted at the helm. With that rashness? No!
you naired itThe only reason they won is because they cheated and stole it, and in Zanzibar under the barrel of the gun! . Lissu was not defeated at the ballot box, the only weakness he had is he didn't have TISS, NEC, Police and Wakurugenzi to rig it for him!
We the people were robbed of our democrstic choice!. Full stop
Sawa lakini hili litategemea sana ushauri au amri atakayopewa Lissu na akina Boooob na timu yake. Nyie ngojeni amri tu kutoka kwa Mbeligiji, Lissu huko Brussels na London kwa Boooob! Vinginevyo sisi tunasonga mbele na kuujenga uchumi wetu.Hakuna mtu atakuwa na muda wa kushiriki maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Akili ya aina hii ni tatizo! Kila anachokifanya Lissu ni sawa tu! Hata akiacha makalio nje utasema ni fasheni. Yaani unaamini kaenda kujipanga, anajipanga kufanya nini wakati alikuja akiwa hajui cha kufanya?Ndio kaenda kujipanga nje ya nchi. Muda wa kwenda kwenye tiba haukuwa na mahusiano na jinsi alivyoondoka hiyo jana. Tusiwe na ushabiki kwa Lisu sawa, ila tuwe na ushabiki na kura za kwenye mabeg na umwagaji damu wa wapinzani ili ccm watangazwe washindi? Huu wizi wa kura, unyama na ukatili wa wazi dhidi ya wapinzani, ulikuwa na faida ya nani?
Ni hivi, tuko wengi hatuitaki ccm, ndio maana tunataka haki yetu ya kuchagua iheshimiwe, na tunaona wazi haiheshimiwi halafu mnatuletea propaganda mfu eti wazungu wanaitaka nchi yetu, wanaitaka kwa kipi labda?
Akili ya aina hii ni tatizo! Kila anachokifanya Lissu ni sawa tu! Hata akiacha makalio nje utasema ni fasheni. Yaani unaamini kaenda kujipanga, anajipanga kufanya nini wakati alikuja akiwa hajui cha kufanya?
Ni ‘yeye’ was a political rhetoric which somehow comforted Lissu’s followers. It was unfortunate that the JF moderators boarded the same wagon of rhetoric, simply by being part of thousands swayed after hoping that Lissu appealed to their prejudices. The Rule, at voting premises, was based on individual acceptance to Lissu’s logic, which never came out of this CHADEMA-man.
Lissu has proven to be a cantankerous person, nonjudgmental and politically of indigestible ideas. I may say to you, Lissu supporters, that he is less genius for one to be trusted at the helm. With that rashness? No!