HORSE POWER
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 2,238
- 1,577
Huyo namba 4 hata nafasi ya sasa anapwaya mno.Hatufai
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaonaje raisi akiwa cheed benz makamu 20% , wazir mkuu dudu baya na spika wa bunge steve nyerereMakamu awe Bashiru
Rais wa 2025 ni huyo No. 1 Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje MwanamkeHabari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .
Huyu hawezi kutulazimisha watu wote kuwa tunakula wali nyama kweli?. Uzuti ni kwamba ukimuweka huyu uhakika wa kula upo; ni lazima utakulaHashim Rungwe
Uliye mtaja hapa kuna speech alijiita kichaa au nakosea?Kama kweli tunataka maendeleo, staili pekee ya kufanikiwa, angalau kwa sasa, ni ile ya JPM.
kwa tafiti zipi ?Wanyiramba hawanaga akili
Januari Yusuph MakambaTutajie mkuu
Namba Tano TOA KABISA TUPA CHOONI.Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu Lissu
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .
Hadi ngwajima??? Aisee watanzania hivi mnaonaga sawa tu kuwa na raisi ambaye ni mtu anayesemaga uongo uongo na ambaye hana msimamoHabari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu Lissu
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .
😂Prof Makame Mbarawa