- Thread starter
- #361
utendaji kazi waoUmetumia vigezo gani kuwachagua hao watu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utendaji kazi waoUmetumia vigezo gani kuwachagua hao watu?
Mwigulu atoke kabisa kwenye systemMwigulu awe mambo ya ndani.
Kaa kwa kutulia, muda ni Mwalimu mzuriInnoBash? Watu wengine sijui wanatumia nini kufikiri wakati wanapendekeza jina la Rais matarajiwa.
kabisaMwigulu atoke kabisa kwenye system
Tundu Lisu , Bashungwa, freeman Mbowe, Tulia Acson !! Baada ya Mama ni zamu ya Wakristo msisahau hilo !!Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu Lissu
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .
1.Balozi KatangaMakonda ameharibu uzi ba inaonekana hujui unachokiandika
Trap na Trat, Raisi wa Mawe, Pimbi wa kwenye mawe wanamjua.Wanyiramba hawanaga akili
Kila siku kwenu Zanzibar!!Prof Makame Mbarawa
Askofu Gwajima.
itapendezaMwigulu atoke kabisa kwenye system
acha ukilazaAcha upuuzi hapa
raisi wa miambaMwigulu Nchemba
Tulia nae atulie itakua zamu ya wanaumeTundu Lisu , Bashungwa, freeman Mbowe, Tulia Acson !! Baada ya Mama ni zamu ya Wakristo msisahau hilo !!