Ni yupi kati ya hawa ni wa kumuandaa kuwa Rais wa Tanzania hapo baadaye?

Tundu Lisu , Bashungwa, freeman Mbowe, Tulia Acson !! Baada ya Mama ni zamu ya Wakristo msisahau hilo !!
 
Askofu Gwajima.



Huyu anawatetea wavamizi wa maeneo ya watu kule Mbopo na mabwepande.

Inasikitisha wengi.

Anatetea uhalifu Huyu ni kiongozi wa aina gani sasa?!

Amekua kikwazo kikubwa katika kutatua migogoro ya ardhi jimboni kwake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…