Acha udini hao wakiristo ukimtoa mkapa na Nyerere jiwe alitufanyia nini zaidi ya mateso kwa hili taifaSasa tundu lissu ni mzalendo gani[emoji856][emoji856]
Pia hapo toa majina ya kiislamu yote bakisha mengine tujadili ..waislamu wana abudu wazungu na waarabu kuwapa 8ongozi ni jau
Ni mtazamo wakoMakonda ameharibu uzi ba inaonekana hujui unachokiandika
Yah yoyote kati ya Majaliwa au Bashiru anafaa kuwa makamu. Lkn mimi naona list inaweza kuwa nzuri zaidi kiuongozi kwa kufuata mpangilio huu... 1) raisi Hussein Mwinyi, 2) makamu wa raisi Kassim Majaliwa, na 2) waziri mkuu Bashiru.Makamu awe Bashiru
Ninashauri tumuombe jirani yetu Obama aje atawale angalau kwa kipindi kimoja ili atufundishe kuwa Tanzania si ya wanaccm tu, na ili kuijenga zinahitajika juhudi za wananchi wote, Mr Obama you are welcome to Tanzania the land of Royal Tour.Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania :-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu lissu .
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi.
January Yusuph MakambaHabari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania :-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu lissu .
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi.
Atafanikisha next stage!!fuatilia mikutano yake mithili ya kampeni FULANI!!Daaa mkono wa Baunsa
Kwa misimamo yuko poaAt
Atafanikisha next stage!!fuatilia mikutano yake mithili ya kampeni FULANI!!
Ana ujasiri wa kuikataa chanjo ya mazombi!!!
tumalizane na katiba kwanza, kisha tuone nani atatufaa kwa wakati huo.Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu Lissu
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi.
Zote takataka... labda Tundu Lissu tuHabari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu Lissu
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi.
na kibajaji.Mbona umewaacha Sabaya na Mnyeti?
Kwa kuwa hujatajwa. Au wewe ni January maana huwa mnatumia fake Id humuHAKUNA MTU HATA MMOJA ANAFAAA
Ya kuua wananchi anaowaongoza ? Huu ni wehuMchapakazi, ila mpole sana. Hataweza kuwaendesha Wabongo. Ndiyo maana alishauriwa akavute bange. Kama kweli tunataka maendeleo, staili pekee ya kufanikiwa ni ile ya JPM. Kama tunataka mzaha, basi tumchague mtu yeyote.
Majaliwa alikuwa anafaa sana. But, baada ya dira yake kuondoka, anaonekana kama vile amejiunga na ^war-who-knee!^
Kabla ya kumpatia kiongozi dhamana ya kuliongoza taifa hili, ni vyema tukarejea kwenye hotuba ya JKN 1995.
Ukweli useme waislamu hatufai kwenye uongozi kabisa kuchagua muislamu kuwa rais ni sawa sawa na kuchagua mwanamke kuwa raisiAcha udini hao wakiristo ukimtoa mkapa na Nyerere jiwe alitufanyia nini zaidi ya mateso kwa hili taifa
Ngowi au Harry Kitilya.Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu Lissu
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi.
Sasa wapinga uzalendo waishi kwa lipi hasa ...mbona sa100 anaua na kuwaziba midomo wazalendoYa kuua wananchi anaowaongoza ? Huu ni wehu
Huo utakuwa muhula wa pili wa hayati Magufuli. Ule alioshindwa kuumaliza.Twende na Bashite aka Makonda, makamu awe General Sabaya, Waziri mkuu awe Mnyeti Alexander, nchi itapaa kiuchumi kama USA
Hafai kwa kila wizara labda apewe idara tu,au akaendeshe kampuni yake ya Esther busMwigulu awe mambo ya ndani.