Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tundu Antipas Lissu. Rais wa mioyo ya Watz for long time.3. Askofu Gwajima
Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu Lissu
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi.
Mbona kigogo 2014 hayupoHabari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu Lissu
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi.
Zitto Kabwe
Mwigulu Nchemba
🙄🙄🙄🙄🙄Ukweli useme waislamu hatufai kwenye uongozi kabisa kuchagua muislamu kuwa rais ni sawa sawa na kuchagua mwanamke kuwa raisi
Ktk Hali tunayopitia wananchi kiuchumi, ukimya wa Dr Mihogo na wengine makini, lipo jambo laja.Dr Wilbroad Slaa
Paul Makonda anafaa sanaHabari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu Gwajima
4. Kassim Majaliwa
5. Paul Makonda
6. Ummy Mwalimu
7. Hussein Bashe
8. Emmanuel Ole Shangai
9. Kenani Kihongosi
10. Tundu Lissu
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi.
NDUGAI alitikisa kiberiti hakutoboa wiki,Gwaji boi atatufaa hizo nyingine [emoji706]
#MaendeleoHayanaChama
Yaani jamaa huyuhuyu kangomba tuliye naye huku Kusini akiwaibia wakulima wa ufuta na korosho ndiye unamuongelea!!??Yah yoyote kati ya Majaliwa au Bashiru anafaa kuwa makamu. Lkn mimi naona list inaweza kuwa nzuri zaidi kiuongozi kwa kufuata mpangilio huu... 1) raisi Hussein Mwinyi, 2) makamu wa raisi Kassim Majaliwa, na 2) waziri mkuu Bashiru.
Nan anakwamisha chama Chao kusajiliwa????Dr Wilbroad Slaa
Lisu kabisa? Yule maneno mengi vitendo zero!Hakika
Hahahaa huyo huyoLisu kabisa? Yule maneno mengi vitendo zero!