Ni yupi kati ya hawa ni wa kumuandaa kuwa Rais wa Tanzania hapo baadaye?

Ni yupi kati ya hawa ni wa kumuandaa kuwa Rais wa Tanzania hapo baadaye?

Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .

Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-​

1. Rais Hussein Mwinyi

2. Bashiru Ally

3. Askofu Gwajima

4. Kassim Majaliwa

5. Paul Makonda

6. Ummy Mwalimu

7. Hussein Bashe

8. Emmanuel Ole Shangai

9. Kenani Kihongosi

10. Tundu Lissu

Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi.
Katika majina yako ongeza hawa: Mtoto wa Mzee Nnauya (Nape), mtoto wa Mzee Makamba (January) , Mtoto wa mzee Kikwete (Ridhiwani) - hivi Mzee Kinana ana mtoto? Kama yupo, basi mtoto wa mzee Kinana (........).
Maana wewe uliowataja wengi ni wa awamu ya tano (Sukuma gang!), hawapendwi!
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Ukweli useme waislamu hatufai kwenye uongozi kabisa kuchagua muislamu kuwa rais ni sawa sawa na kuchagua mwanamke kuwa raisi
Acha ubaguzi
 
*Hussein mwinyi labda na majaliwa

*Lissu hamna kitu humo
*Bashiru ni MTU wa kubadilika ataanza kutumia falsafa za kujihami.
*mwigulu hata atambikie baharini hana hata mwonekano wa kuongoza.
*makamba ni masifa sana atarudisha ibada ya kuimba na kusifu.
*Nape ana kiburi hivyo atagoma kutembea atataka abebwe kwenye machela. Tutaumia.
* Upinzani wote hamna kitu....
*****************************
Kura ni kwa
1.Dr. Hussein mwinyi.
2.Majaliwa(hapo ni muongo sana)
 
  • Thanks
Reactions: RNA
*Hussein mwinyi labda na majaliwa

*Lissu hamna kitu humo
*Bashiru ni MTU wa kubadilika ataanza kutumia falsafa za kujihami.
*mwigulu hata atambikie baharini hana hata mwonekano wa kuongoza.
*makamba ni masifa sana atarudisha ibada ya kuimba na kusifu.
*Nape ana kiburi hivyo atagoma kutembea atataka abebwe kwenye machela. Tutaumia.
* Upinzani wote hamna kitu....
*****************************
Kura ni kwa
1.Dr. Hussein mwinyi.
2.Majaliwa(hapo ni muongo sana)
Tabia za KUJIRUDIA za watokao pwani na visiwani kuja kuuza raslimali za bara zinawaondolea sifa kukabidhiwa kijiti baada ya huyu.
 
Tabia za KUJIRUDIA za watokao pwani na visiwani kuja kuuza raslimali za bara zinawaondolea sifa kukabidhiwa kijiti baada ya huyu.
Mkuu marais kwenye maono hutoka kanda ya ziwa wengine hao ni miyeyusho sana
 
Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .

Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-​

1. Rais Hussein Mwinyi

2. Bashiru Ally

3. Askofu Gwajima

4. Kassim Majaliwa

5. Paul Makonda

6. Ummy Mwalimu

7. Hussein Bashe

8. Emmanuel Ole Shangai

9. Kenani Kihongosi

10. Tundu Lissu

Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi.
Hapo namba 10. Ni namba ya mshambuliaji Kweli bt mwandishi amesahau kuwa:

CDM Haina desturi ya kurudia mgombea ktk nafasi hiyo.

Ukimtoa huyo,na Mnyika, CDM itabidi wasajili Kutoka Timu ya KIJANI,

Anyway Tuandike KATIBA mpya kwanza.

Amen
 
eti akili yangu inamuona gwajimaaa 😀 😀 😀 😀 sijui ni bhangi au nini hiki
 
Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .

Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-​

1. Rais Hussein Mwinyi

2. Bashiru Ally

3. Askofu Gwajima

4. Kassim Majaliwa

5. Paul Makonda

6. Ummy Mwalimu

7. Hussein Bashe

8. Emmanuel Ole Shangai

9. Kenani Kihongosi

10. Tundu Lissu

Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi.
Bila jina la Jenerali Lengai Ole Sabaya hiyo list ni feki. Kijana ana uthubutu, ujasiri, na ujiniasi wa hali ya juu. Futa list yako uandike upya
 
  • Thanks
Reactions: RNA
majaliwa changamoto moja hawezi kusimamia na kusema ukweli labda ikifika kipindi cha kukosoa utendaji wa watu wengine ila sio serikali..
 
Mkuu marais kwenye maono hutoka kanda ya ziwa wengine hao ni miyeyusho sana
Ni coincidence tu, viongozi wenye maono waweza Toka mahal popote maana tupo zaidi ya watu 60 ml.

Filikunjombe alikuwa visionary leader, kambona, sokoine, Nyerere,

Mbowe na MNYIKA ni wabeba maono pia kama warioba.

Wapo wengi visionary wasokuwa na majina Bado ambao:

"Matumbo Yao hayaathiri UBONGO wao in a negative way. ""

Maana njaa ni jambo la muda mfupi tu.
Amen
 
Hapo kwa Bashiru Ally, Gwajima na Paul Makonda ongeza na Lengai Ole Sabaya maana uonavyo wewe hawa ndiyo wazalendo
 
Yaani jamaa huyuhuyu kangomba tuliye naye huku Kusini akiwaibia wakulima wa ufuta na korosho ndiye unamuongelea!!??
Weka fact mkuu, mimi mara nyingi huwa naamini jambo kupitia fact. Ila kama hauna fact basi hoja yako ipeleke kwa wanywa kahawa wenzio. Toka tulipoambiwa kuwa Lowasa ni fisadi asiefaa kuongoza hata ujumbe wa nyumba kumi kumi, na baadae waliotuambia hivyo kugeuza tena kauli na kutuambia kuwa Lowasa ni mwenye maono anaefaa kuwa raisi wa chi hii, basi nimepoteza imani na shutuma za vijiweni zisizokuwa na fact yoyote ya kunifanya niamini.
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Back
Top Bottom