Ni yupi kati ya hawa ni wa kumuandaa kuwa Rais wa Tanzania hapo baadaye?

Ni yupi kati ya hawa ni wa kumuandaa kuwa Rais wa Tanzania hapo baadaye?

Nchi yetu na zote za kiafrika zinaendeshwa kizamani sana, tunahitaji raisi aliye na maono, mwenye exposure, mwenye entrepreneurial mindset na sio politician (siasa ni wakati wa kuchagua viongozi tu), mzalendo wa kweli sio uzalendo huu wa awamu ya tano, aliyetayari kujifunza kutoka kwa waliondelea na wataalamu.
 
Nchi yetu na zote za kiafrika zinaendeshwa kizamani sana, tunahitaji raisi aliye na maono, mwenye exposure, mwenye entrepreneurial mindset na sio politician (siasa ni wakati wa kuchagua viongozi tu), mzalendo wa kweli sio uzalendo huu wa awamu ya tano, aliyetayari kujifunza kutoka kwa waliondelea na wataalamu.
Hakika
 
Hapo kuna mtu mmoja tu mwenye sifa za kuwa Rais ni Husein Mwinyi.Lisu Urais hawezi,Makonda Gwajima ni wahuni na nchi ingekuwa inafata sheria wangekua magereza kwa Sababu wote Wana jinai .Hao wengine sifa za uongozi hawana .Lisu labda uwaziri lakini ngazi ya Urais atakua dikiteta mkubwa Sana ni zaidi ya Magufuli.
Sawa
 
Anthony
Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .

Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-​

1. Rais Hussein Mwinyi

2. Bashiru Ally

3. Askofu Gwajima

4. Kassim Majaliwa

5. Paul Makonda

6. Ummy Mwalimu

7. Hussein Bashe

8. Emmanuel Ole Shangai

9. Kenani Kihongosi

10. Tundu Lissu
11, Anthony mtaka
Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Nani au chombo gani huwaandaa Marais wa Tanzania??
Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .

Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-​

1. Rais Hussein Mwinyi

2. Bashiru Ally

3. Askofu Gwajima

4. Kassim Majaliwa

5. Paul Makonda

6. Ummy Mwalimu

7. Hussein Bashe

8. Emmanuel Ole Shangai

9. Kenani Kihongosi

10. Tundu Lissu

Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .
 
Hafai kwa kila wizara labda apewe idara tu,au akaendeshe kampuni yake ya Esther bus
Akiwa wizara ya mambo ya ndani wakosoaji wa jiwe walitekwa sanaaa akiwemo yule dogo wa udsm aliyeokotwa misitu ya saohill
 
Anahitajika inteligent, humble, patriotic, visionary and Truthful kufanikisha next stage!

Lipo jina hapo naliona ndie!

Na Mbingu zimemchagua na sisi wazalendo tunaenda nae!

Sitomtaja kwenye uzi Huu!

Tafuteni WENYEWE!
Hata mie nimemuona. Mh. Majaliwa hapana anatosha kwa kipindi alichotumikia. Wengine wote hawana guts. Nchi inahitaji mtu mwenye guts za kusema hiki sawa hiki hapana na mwenye maono.
 
Hata mie nimemuona. Mh. Majaliwa hapana anatosha kwa kipindi alichotumikia. Wengine wote hawana guts. Nchi inahitaji mtu mwenye guts za kusema hiki sawa hiki hapana na mwenye maono.
Nyie ni Team JPM
 
Ila hawezi kuwafikia wale aliopambanishwa nao kwenye orodha ya mwandishi hapo juu!
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Back
Top Bottom