Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na jinsi alivokagua gwaride kule Malawi kweli lolote linawezekana!!Next president ni Humphrey Polepole
Awaweke madereva pekee kama kwenye Abood na Bm coachOndoa makonda kwanza
Na MusibaMbona umewaacha Sabaya na Mnyeti?
Samia kamuua mzalendo yupiSasa wapinga uzalendo waishi kwa lipi hasa ...mbona sa100 anaua na kuwaziba midomo wazalendo
Musiba umesahau, atakuwa na cheo gani?Twende na Bashite aka Makonda, makamu awe General Sabaya, Waziri mkuu awe Mnyeti Alexander, nchi itapaa kiuchumi kama USA
Bashite, Mnyeti na Msukuma basiMkuu marais kwenye maono hutoka kanda ya ziwa wengine hao ni miyeyusho sana
Aisee! Simtetei mtu wako huyo unayemponda, ila hoja yako imepwaya kama misaada ya NATO Ukraine! It simply doesn't make sense!Wanyiramba akili ya kuongoza hawana, watu wanaotokea kwenye njaa kifikra kichwani ni weupe sana
Huyo ondoa kabisa tupa kule, hatuwezi kuongozwa na mtu amba dishi limeyumba. Tutakuwa nchi ya watu wa ajabu sana10. Tundu Lissu
Ama kwa hakikaTwende na Bashite aka Makonda, makamu awe General Sabaya, Waziri mkuu awe Mnyeti Alexander, nchi itapaa kiuchumi kama USA
Hussein huyu huyu aliyefeli Muhimbili na aliyegoma kujiunga na mafunzo ya JKT au Hussein Mwingine ?Hussein Mwinyi anafaa na makamu wake Majaliwa. Hao wengine wachumia tumbo.
Fact anazo DSO na RSO, wewe huna mamlaka ya kupewa "facts".Weka fact mkuu, mimi mara nyingi huwa naamini jambo kupitia fact. Ila kama hauna fact basi hoja yako ipeleke kwa wanywa kahawa wenzio. Toka tulipoambiwa kuwa Lowasa ni fisadi asiefaa kuongoza hata ujumbe wa nyumba kumi kumi, na baadae waliotuambia hivyo kugeuza tena kauli na kutuambia kuwa Lowasa ni mwenye maono anaefaa kuwa raisi wa chi hii, basi nimepoteza imani na shutuma za vijiweni zisizokuwa na fact yoyote ya kunifanya niamini.
Kabisa atupe factUmetumia vigezo gani kuwachagua hao watu?
Makamu wa Rais wake ni: Baraka Shamte na Masauni..Mwigulu Nchemba
Vizuri mkuunitaiongoza hii nchi kuanzia 2035, na nitakaa madarakani kwa 30yrs, baada ya hapo Tanzania itakuwa ni moja ya nchi inayoogopeka sana duniani.
Bila kuja binadamu mwenye fikra na maono kama yangu, hii nchi haiwezi kutoboa.
Mtakaokuwa hai kuanzia 2035 mpaka 2065 mtaiona hii nchi itakavyopaa.
Sawahawa angalau wanaafadhali kidogo Dr Hussein Mwinyi, Ridhwani Kikwete, Hussen Bashe, January Makamba, Freeman Mbowe, Sugu wa CDM,Adam Malima, Eng Hersi wa Yanga.
Tukishindwa kabisa bora arudi Mkwere wa Msoga, JK mwenyewe amalizie mpaka 2035 anikabidhi gurudumu.