Ni yupi kati ya hawa ni wa kumuandaa kuwa Rais wa Tanzania hapo baadaye?

Ni yupi kati ya hawa ni wa kumuandaa kuwa Rais wa Tanzania hapo baadaye?

Umetaja sifuri tupu hapo. Hakuna kiongozi hata m'moja. At least Lukuvi kidoooogoool ana afadhali kiutendaji na atainyoosha inchi maana ana umakini. Hao wengine ni takataka.
Umri ushaenda sana
 
Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .

Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-​

1. Rais Hussein Mwinyi

2. Bashiru Ally

3. Askofu Gwajima

4. Kassim Majaliwa

5. Paul Makonda

6. Ummy Mwalimu

7. Hussein Bashe

8. Emmanuel Ole Shangai

9. Kenani Kihongosi

10. Tundu Lissu

Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .
Hapo hamna hata mmoja anayefaa Kwa maoni yangu ni yule balozi wa malawi
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Sasa tundu lissu ni mzalendo gani[emoji856][emoji856]
Pia hapo toa majina ya kiislamu yote bakisha mengine tujadili ..waislamu wana abudu wazungu na waarabu kuwapa 8ongozi ni jau
Udini unaingiaje?
Tunaweza jenga hoja bila kuweka udini?
 
Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .

Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-​

1. Rais Hussein Mwinyi

2. Bashiru Ally

3. Askofu Gwajima

4. Kassim Majaliwa

5. Paul Makonda

6. Ummy Mwalimu

7. Hussein Bashe

8. Emmanuel Ole Shangai

9. Kenani Kihongosi

10. Tundu Lissu

Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .
ONDOA LISU HAPO. BAKIZA TAKATAKA ZINGINE HIZO ZISHINDANE
 
Ulega na Aweso ndio wanaoandaliwa!Lakini mteule atatokea Mbinguni kwa Baba coz machaguo ya wanadamu yametuumiza Sana na kutuibia Sana!hatutaki Rais Mwenye njaa ya utajiri!!
 
Hussein huyu huyu aliyefeli Muhimbili na aliyegoma kujiunga na mafunzo ya JKT au Hussein Mwingine ?
Mkuu Erythrocyte niwekee fact hapa, lkn iliyo nje ya maneno ya kisiasa. Binafsi nimeshajifunza mengi kupitia siasa za majitaka kama vile leo viongozi wa upinzani waniambie Lowasa fisadi hafai kuwa hata diwani, kesho waniambie Lowasa sio fisadi na anafaa sana kuwa raisi wa Tanzania. Au leo mch... fulani wa Iringa aniambie Kinana ni jangili wa meno ya tembo, kesho aombe radhi na kusema kuwa Kinana sio fisadi, bali alitumia siasa kuongea aliyoongea nk. Inajulikana wazi kuwa siasa ni uongo, lkn isiwe uongo wa kuchafua majina ya watu.
 
Sio kwamba pm majaliwa awe ndo prezidaa harafu mwinyi awe Makamu, namuelewa sana Hon. Majaliwa, Mungu amsaidie iwe hivyo
Ya Majaliwa ni tunu ya taifa letu. Lakini hata Mwinyi namkubali sana, japo wafia uzinzibar wa Zanzibar wanapambana kumkwamisha kwa vile ana asili ya bara.
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Back
Top Bottom