Ni yupi kati ya hawa ni wa kumuandaa kuwa Rais wa Tanzania hapo baadaye?

Ni yupi kati ya hawa ni wa kumuandaa kuwa Rais wa Tanzania hapo baadaye?

Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .

Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-​

1. Rais Hussein Mwinyi

2. Bashiru Ally

3. Askofu Gwajima

4. Kassim Majaliwa

5. Paul Makonda

6. Ummy Mwalimu

7. Hussein Bashe

8. Emmanuel Ole Shangai

9. Kenani Kihongosi

10. Tundu Lissu

Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .
Mtoa mada hao ndo wanafaa.ww hufai??
 
Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .

Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-​

1. Rais Hussein Mwinyi

2. Bashiru Ally

3. Askofu Gwajima

4. Kassim Majaliwa

5. Paul Makonda

6. Ummy Mwalimu

7. Hussein Bashe

8. Emmanuel Ole Shangai

9. Kenani Kihongosi

10. Tundu Lissu

Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .
Huyu namba 10 Tundu Lisu ondoa kabisa huyo ni mshenzi atauza nchi,tena akipewa naombea wachawi wote wamloge akufilie mbali,mtu gani anaiongelea ardhi yetu akiwa nyumbani kwa washenzi

#1 Bashiru #2 Majaliwa #3 Gwajima #4 Makonda

Hapo angalau
 
Ya Majaliwa ni tunu ya taifa letu. Lakini hata Mwinyi namkubali sana, japo wafia uzinzibar wa Zanzibar wanapambana kumkwamisha kwa vile ana asili ya bara.
Huyo mwinyi ana nini na mamiwani yake yale kama baba paroko?

Nchi inahitaji RAIS na sio mzaliwa wa kifalme mwenye haiba za paroko!

Hana chochote zaidi ya kutoka kwenye ukoo wa KIFALME.
 
Nikishaapishwa, nikitia saini kwa wino wangu mwekundu, pale uwanja wa Taifa
 
Anahitajika inteligent, humble, patriotic, visionary and Truthful kufanikisha next stage!

Lipo jina hapo naliona ndie!

Na Mbingu zimemchagua na sisi wazalendo tunaenda nae!

Sitomtaja kwenye uzi Huu!

Tafuteni WENYEWE!
TL bila shaka. 2020 alionyesha kweli,hata kile Chuma kilibonyea!
 
Kuna watu mnastahili matusi matakatifu.
CCM iliyofeli kwa miaka 60 bado unaamini inaweza kutoa viongozi bora!
Wapo ndani ya CCM wanaweza kuifaa Nchi tukiangalia Kwa makini IWAPO watakaa nje ya mfumo.

Mf una habari Mh Sitta alikuwa ndie awe mgombea wa CDM Badala ya aliegombea Dr Slaa?
 
Anahitajika inteligent, humble, patriotic, visionary and Truthful kufanikisha next stage!

Lipo jina hapo naliona ndie!

Na Mbingu zimemchagua na sisi wazalendo tunaenda nae!

Sitomtaja kwenye uzi Huu!

Tafuteni WENYEWE!
Kama baba kama mtoto
 
Ulevi sio tatizo sana Kama ana akili kubwa ! Mbona ma Rais wengi tu walikuwa wanautwika na bado wanatawala Nchi kubwa tu na nyingine ni Super power Kama Urusi alikuwepo Boris Yeltsin! Baadhi ya ziara zake zilikuwa zinaakhirishwa akiwa angani kwa sababu anakuwa amelewa sana !! Hatari sn !!!
Hata Jirani wa Kenya
 
Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .

Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-​

1. Rais Hussein Mwinyi

2. Bashiru Ally

3. Askofu Gwajima

4. Kassim Majaliwa

5. Paul Makonda

6. Ummy Mwalimu

7. Hussein Bashe

8. Emmanuel Ole Shangai

9. Kenani Kihongosi

10. Tundu Lissu

Nini Maoni yenu wanajf tukizingatia kigezo cha Uzalendo na kujituma kupiga Kazi. Lengo ni Kusaidia Vyama na Taasisi husika kuchagua Watu Sahihi .
1657259895787.png
 
Back
Top Bottom