Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Nimekaa na wazee hapa, wanabishana kuwa Sunday Manara "Computer" ndiye mchezaji bora kabisa kuwahi kutokea nchini Tanzania.
Ila miongoni mwao wapo wanaosema hakuna kama Edibily Jonas Lunyamila. Wakakosoa Lunyamila amecheza timu gani Ulaya? Mashabiki wa Lunyamila kimyaaa...
Mimi nimekaa zangu kimya, maana jina linalonijia kichwani ni Mbwana Samatta. Kwangu nafikiri ndio mchezaji bora wa muda wote kutoka Tanzania.
Haya wanajukwaa, tujadiliane hapa nani ni mchezaji bora kuwahi kutokea hapa Tanzania?
Karibuni kwa mjadala...
Ila miongoni mwao wapo wanaosema hakuna kama Edibily Jonas Lunyamila. Wakakosoa Lunyamila amecheza timu gani Ulaya? Mashabiki wa Lunyamila kimyaaa...
Mimi nimekaa zangu kimya, maana jina linalonijia kichwani ni Mbwana Samatta. Kwangu nafikiri ndio mchezaji bora wa muda wote kutoka Tanzania.
Haya wanajukwaa, tujadiliane hapa nani ni mchezaji bora kuwahi kutokea hapa Tanzania?
Karibuni kwa mjadala...