Ni yupi mchezaji bora kuwahi kutokea Tanzania?

Ni yupi mchezaji bora kuwahi kutokea Tanzania?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Nimekaa na wazee hapa, wanabishana kuwa Sunday Manara "Computer" ndiye mchezaji bora kabisa kuwahi kutokea nchini Tanzania.

Ila miongoni mwao wapo wanaosema hakuna kama Edibily Jonas Lunyamila. Wakakosoa Lunyamila amecheza timu gani Ulaya? Mashabiki wa Lunyamila kimyaaa...

Mimi nimekaa zangu kimya, maana jina linalonijia kichwani ni Mbwana Samatta. Kwangu nafikiri ndio mchezaji bora wa muda wote kutoka Tanzania.

Haya wanajukwaa, tujadiliane hapa nani ni mchezaji bora kuwahi kutokea hapa Tanzania?

Karibuni kwa mjadala...
 
Lunyamila hana mpinzani hapa. Kucheeza ulaya sio kigezo pekee cha mtu kuwa bora. Wapo wachezaji wengi wazuri lakin hawakupata hiyo fursa ya kucheza ulaya kwa sababu mbalimbali mf lunyamila, mohamed Hussen, athuman machupa na wengine wengi. So leo hii ninja aingie kwenye all times best player kwa kuwa yuko US anacheza na Ibra?
 
Mimi siwajui hao sijui "Nyalamila"... ila nachojua Msuva ana kipaji na juhudi kuliko "Samatta"... Samatta ni nyota tu, kama unafuatilia mpira utanielewa
Samatta ana kipaji, ana uwezo kutembea na kijiji bila shida,
Msuva ana kipaji, ana speed, mshapu, mbio ndio silaha yake kubwa.
Hakuna bora wa muda wote kati ya hawa wawili labda hao Akina Lunyamila na Manara.
 
Lunyamila hana mpinzani hapa. Kucheeza ulaya sio kigezo pekee cha mtu kuwa bora. Wapo wachezaji wengi wazuri lakin hawakupata hiyo fursa ya kucheza ulaya kwa sababu mbalimbali mf lunyamila, mohamed Hussen, athuman machupa na wengine wengi. So leo hii ninja aingie kwenye all times best player kwa kuwa yuko US anacheza na Ibra?
Hahaha nimekuelewa mkuu
 
Nimekaa na wazee hapa, wanabishana kuwa Sunday Manara "Computer" ndiye mchezaji bora kabisa kuwahi kutokea nchini Tanzania.

Ila miongoni mwao wapo wanaosema hakuna kama Edibily Jonas Lunyamila. Wakakosoa Lunyamila amecheza timu gani Ulaya? Mashabiki wa Lunyamila kimyaaa...

Mimi nimekaa zangu kimya, maana jina linalonijia kichwani ni Mbwana Samatta. Kwangu nafikiri ndio mchezaji bora wa muda wote kutoka Tanzania.

Haya wanajukwaa, tujadiliane hapa nani ni mchezaji bora kuwahi kutokea hapa Tanzania?

Karibuni kwa mjadala...
Zamoyoni Mogella
 
Back
Top Bottom