Nawasubiri wabobevu wa jiji la Dar wanipatie japo maujuzi ya biashara ya kufanya nitengeneza 20k kwa siku
Si mnajua tena mambo ya kodi jamani [emoji17][emoji17] Nsaidieni mawazo, lo! Sihitaji pesa, mawazo ya biashara tu yanatosha
Pia PM iko wazi[emoji23][emoji23] But kama utaanza kwa kunipa details kwanza! [emoji125][emoji125]
Si mnajua tena mambo ya kodi jamani [emoji17][emoji17] Nsaidieni mawazo, lo! Sihitaji pesa, mawazo ya biashara tu yanatosha
Pia PM iko wazi[emoji23][emoji23] But kama utaanza kwa kunipa details kwanza! [emoji125][emoji125]