- Thread starter
- #21
Shost, hawataki kutuambia [emoji17][emoji17] Wanataka tuteseke ili watumie shida zetu kama nafasi ya kututafuna [emoji21][emoji21]Naendelea kusoma mkuu,mi nina mtaji wa 50000 tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shost, hawataki kutuambia [emoji17][emoji17] Wanataka tuteseke ili watumie shida zetu kama nafasi ya kututafuna [emoji21][emoji21]Naendelea kusoma mkuu,mi nina mtaji wa 50000 tu
Laki moja ya majaribio [emoji23][emoji23] najua kuna kufeli, lakini hata laki mbili sawaHujasema una mtaji kiasi gani sasa ili twende sawa.
Kwanini uhofu kodi[emoji23][emoji23][emoji23]
Na mimi ni msomaji tu,
Nawasubiri wabobevu wa jiji la Dar wanipatie japo maujuzi ya biashara ya kufanya nitengeneza 20k kwa siku
Si mnajua tena mambo ya kodi jamani [emoji17][emoji17]
Nsaidieni mawazo, lo!
Sihitaji pesa, mawazo ya biashara tu yanatosha
Pia PM iko wazi[emoji23][emoji23] But kama utaanza kwa kunipa details kwanza! [emoji125][emoji125]
Awe mama mwenye numbaKwanini uhofu kodi
Ni bora ujenge tu nyumba yako
Ili warudi kutusimangaShost, hawataki kutuambia [emoji17][emoji17] Wanataka tuteseke ili watumie shida zetu kama nafasi ya kututafuna [emoji21][emoji21]
Ok biashara ya ma apple na ubuyu wa babu isa inakufaa kwa siku inazidi hyo faida unayotaka.Laki moja ya majaribio [emoji23][emoji23] najua kuna kufeli, lakini hata laki mbili sawa
[emoji23][emoji23] hawataki kuja, kakaNgoja waje kukupa muongozo...
Subira yavuta kheri...[emoji23][emoji23] hawataki kuja, kaka
[emoji23][emoji23] hawataki kuja, kaka
Tafuta million 1½ nikuuzie ng'ombe wawili wa kisasa wa maziwa baada ya miezi kadhaa kila mmoja asubuhi anatoa maziwa lita 10 mara mbili ni lita 20 kila Lita unauza buku alafu unakamua asubuhi na jion
Kwahiyo kwa siku hukosi elfu 40
Elfu 40,000×30= 1,200,000 kwa mwezi
Tafuta kijana awe muangalizi wa ng'ombe mlipe vizuri laki 1 kwa mwezi we unabaki na 1,100,000 ni pesa ndefu tu unakula huku umekunja nne unaangalia Tv
Kama unaona kufuga ni kupoteza muda endelea kuvaa soksi na malapa na earphones maskioni huku unatafuta big G na kutembea na smartphone barabarani had upigie honi ndo upishe njia
Kubet
Ukiwa na mtaji wako wa 10K ukatafuta odds 3 za uhakika hukosi 20K
danload app ya klnda then njoo nikupe maelezo ila mtaji ni kuanizia elfu 30
Wanakula mtori nyama na birianMzee ina maana hao ng'ombe hawali, mbona hujaweka gharama ya chakula na matibabu?
Hujagutuka kama huyo katumia style ya motivational speaker? Yaani uwekeze 1.5M halafu kila mwezi upate 1M plus?? hiyo kila mtu angefanyaMzee ina maana hao ng'ombe hawali, mbona hujaweka gharama ya chakula na matibabu?