Eeeeeh...Kubet
Ukiwa na mtaji wako wa 10K ukatafuta odds 3 za uhakika hukosi 20K
😀😀Kubet
Ukiwa na mtaji wako wa 10K ukatafuta odds 3 za uhakika hukosi 20K
Hakuna odds za uhakika kwenye kubetKubet
Ukiwa na mtaji wako wa 10K ukatafuta odds 3 za uhakika hukosi 20K
Hii biashara imevamiwa na watu wengi sn sasa hiviChukua smartphone yako weka bando uwe online muda wote, nenda kariakoo, piga picha bidhaa weka matangazo mitandaoni ongeza buku Tano Tano, uje unishukuru baadae. UAMINIFU NA UKWELI WA WAKO KUHUSU BIDHAA NDIO MTAJI WAKO MKUU wa biashara hii.
ZipoHakuna odds za uhakika kwenye kubet
👇👇Hapa ndy umepoteza maana nzima ya bandiko lako..kuomba watu waje pm umeonyesha haupo serias na biashara Ila unataka kufanya "biashara" huko pm[emoji23][emoji23][emoji23]
Na mimi ni msomaji tu,
Nawasubiri wabobevu wa jiji la Dar wanipatie japo maujuzi ya biashara ya kufanya nitengeneza 20k kwa siku
Si mnajua tena mambo ya kodi jamani [emoji17][emoji17]
Nsaidieni mawazo, lo!
Sihitaji pesa, mawazo ya biashara tu yanatosha
Pia PM iko wazi[emoji23][emoji23] But kama utaanza kwa kunipa details kwanza! [emoji125][emoji125]
True kabisa,ila we jamaa bwana naona mtaalamu wa mambo hayoKubet
Ukiwa na mtaji wako wa 10K ukatafuta odds 3 za uhakika hukosi 20K
Umeshasoma,,,,Maoni yako.Nasoma comments
Naendelea kusoma mkuu,mi nina mtaji wa 50000 tuUmeshasoma,,,,Maoni yako.
Mkuu naomba maelezo juu ya hiii tafadhalidanload app ya klnda then njoo nikupe maelezo ila mtaji ni kuanizia elfu 30