Ni zipi kazi au biashara ambazo ukifanya hukosi 20k kwa siku?

Hii post imenichekesha sana[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]sawa tuachane na hayo hao ngombe wako unawauzia wapi au mkoa gani?
 
Umempa idea nzuri sema umerahizisha sana
Kuna mkaa, jiko, good location , sehemu ya kuhifadhia hizo vifaa, karai,mafuta, pilipili, na transport cost ...nk
 
Kubet

Ukiwa na mtaji wako wa 10K ukatafuta odds 3 za uhakika hukosi 20K
Yaa kabsa iyo 50k yako chukua 20k mtaji unabaki na 30k kama risk management fund... 20k weka mikeka miwili ya odd 2+ za uhakika kila mkeka mmoja unakuwa na 10k faida means umeshatengeneza 20k kwa siku 20k mara mwezi mmoja ni 600k per month....

Ila angalizo pata kujua kwanza how utapata izo 2+ odds na the more unaweka dau kubwa ndo the more unapata na achana na mtu akuambie njoo nikuuzie odds ni scamming game utapoteza mtaj wako wote
 

Msaada huku unapigwa spana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…