Ni zipi kozi fupi za Bandarini zinasaidia kupata kazi?

Piga umeme wa Magari kisha uwekeze nguvu kwenye magari makubwa. Ukiweza vizuri unaweza ukaacha namba kwenye kijiwe chako kama ni Mbagala ETG, Kurasini,Tabata,Mchicha,Mbezi watu watakutafuta kulingana na ubobezi.

Raha ya trucks ukirekebisha inaondoka mazima, sio sawa na wateja wa gari ndogo kesho anageuka kulalamika.
 
Ni ujuzi gani unahitajika na waajiri
1. IT -ujuzi wa kusimamia financial software na kuzilinda dhidi ya hickers.
2.Ujuzi wa marketing field .nenda kwa mwenye kiwanda mwambie staki mshahara ila nipe power ya kukufanyia marketing kila mfuko mfano wa gypsum aseme akupe tshs 200 .mwambie wakisha deposit tu unachukua chako Kisha ww unazurula kwa wajenzi .
3.branding omba appointment na tajir wa kampuni .Kisha mtengenezee proposal utavoipa umaarufu kampuni yake Kisha muelezee kwa kutumia power point.
.ukichambua cost kwa details

Zama za waajiri kuogopa vyet imeisha kwa mo mhasibu wa kawaida mwenye degree analipwa laki 4 sababu mtaani wenzie 10000 wanauza chips
 
Asante sana
 
haha mkuu magari madg kesho hakawii kuja kulaum.
 
Asante sana kesho nitaenda niangalie kama naweza pata
 
Wakuu, nataka kusoma short courses zinazotolewa Chuo cha Bandari pale Tandika hivo nilikua nataka majina ya short course ambazo ukisoma labda 4 weeks utapata ajira maana kuna mtu kanambia hii ya kuendesha foko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…