Ni zipi kozi fupi za Bandarini zinasaidia kupata kazi?

Ni zipi kozi fupi za Bandarini zinasaidia kupata kazi?

Unapeleka maombi Ofisi za Suma JKT Port, zipo maeneo karibu na Geti namba 3 la Bandari au Mkabala na NHIF Temeke Zone barabara ya Bandari/Shimo la Udongo.

Suma JKT wao ndio huingiza wafanyakazi wa kutwa kulingana na uhitaji wa siku wanaopewa na Bandari
Nimeenda hapo wamesema kwa sasa hawachukui wafanyakazi wapya mpaka wakitangaza mwakani, au ni connection ndio unaingia kule na kama kuna kampuni nyingine naomba nisaidie chief
 
Reachstaker,crane operator inshort kozi za kuendesha mitambo yaan but lazima uwe na valid driving license kwanza
 
Kazi za kutwa ni zip?
Ukarani,usafi, madereva magari,forklift, Terminal Trucks (TT) na ufundi katika idara tofauti.

Hawa wanaingia kutokana na uhitaji wa nguvu kazi inayohitajika siku husika, na hulipwa pesa kwa masaa au shift aliyofanya kazi.
 
Kapige course ya clearing and freight forwading miezi minne nadhani kama sio sita
 
Back
Top Bottom