Niagize China, angalia wanavyopiga pesa

Niagize China, angalia wanavyopiga pesa

Justine Marack

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
612
Reaction score
1,698
Hawa wadada wanaojitangaza kuwa wanakuletea mzigo toka China huwa wanapiga pesa ndefu.

Hizi mishe walizianza akina Faiza Ally. Kwa sasa wamekula wengi hasa wadada.

Iko hivi, wao wanaenda China au wengine wanakua hapa bongo lakini kule anakua na Mchina anaye muamini tayari. Sasa anachagua bidhaa zake na kuzitangazia bei kitonga. Kisha watu wanachanga.

Ukiwauliza wao wanapata faida gani hawajibu, maana katika matangazo yao hawaoneshi service charge inakua ngapi. Lakini kuihalisia wanakua tayari ile Bei wameongeza na chajuu Chao. Mfano viatu anavitangaza kwa Bei ya 3000 kwa masharti ya kuichukua pea elfu kumi. Sasa kwa Mchina pea elfu10 unawe kukuta Kila kiatu kikasimama kwenye 1500.

Sasa wao wanachukua 1500 kama malipo Yao.

Sasa ukifanya hesabu 1500* 10000=15,000,000/

Hapo nakula milioni 15 bila jasho

Hongera kwao
 
Sikuzote nasemaga...
Biashara inafaida sana kwenye maandishi kama hivi, ebu ingia fied mwenyewe ukajionee....😊
🤣🤣🤣🤣 umenikumbusha wale jamaa fulani hivi. Wanakuita posta ghorofa ya kumi, wanaki-whiteboard chao na projector. Wanaanza kukupigisha stori za kilimo, utasikia hekari moja inatoa matikiti 6000, tufanye umekosa unapata matikiti 4000. Ambapo bei ya sokoni sijui 3000 we fanya hutaki tamaa unauza....... unaambiwa kwa mwezi unatengeneza hadi 20M+

Sasa ingia battlefield 😁😁😁
 
🤣🤣🤣🤣 umenikumbusha wale jamaa fulani hivi. Wanakuita posta ghorofa ya kumi, wanaki-whiteboard chao na projector. Wanaanza kukupigisha stori za kilimo, utasikia hekari moja inatoa matikiti 6000, tufanye umekosa unapata matikiti 4000. Ambapo bei ya sokoni sijui 3000 we fanya hutaki tamaa unauza....... unaambiwa kwa mwezi unatengeneza hadi 20M+

Sasa ingia battlefield 😁😁😁
Janja za mjin hizi
 
Hawa wadada wanaojitangaza kuwa wanakuletea mzigo toka China huwa wanapiga pesa ndefu.

Hizi mishe walizianza akina Faiza Ally. Kwa sasa wamekula wengi hasa wadada.

Iko hivi, wao wanaenda China au wengine wanakua hapa bongo lakini kule anakua na Mchina anaye muamini tayari. Sasa anachagua bidhaa zake na kuzitangazia bei kitonga. Kisha watu wanachanga.

Ukiwauliza wao wanapata faida gani hawajibu, maana katika matangazo yao hawaoneshi service charge inakua ngapi. Lakini kuihalisia wanakua tayari ile Bei wameongeza na chajuu Chao. Mfano viatu anavitangaza kwa Bei ya 3000 kwa masharti ya kuichukua pea elfu kumi. Sasa kwa Mchina pea elfu10 unawe kukuta Kila kiatu kikasimama kwenye 1500.

Sasa wao wanachukua 1500 kama malipo Yao.

Sasa ukifanya hesabu 1500* 10000=15,000,000/

Hapo nakula milioni 15 bila jasho

Hongera kwao

Naona umekurupuka, Hiyo biashara sio hvyo unavyofikiri kwamba wanapata hela unavyofikiria

Hile ni biashara ngumu sana we acha tu
 
Naona mleta mada umeandika kama mtu asiyekuwa na uelewa mpana. Ngoja nikufafanulie.

1. Kupata pesa au kupata faida kwenye biashara ndio msingi wa kufanya biashara. Hivyo hakuna cha ajabu katika hilo ikiwa wanatengeneza faida.

2. Tafsiri ya neno kupata faida kubwa haiwezi kufanana baina ya watu mbalimbali wanaofanya biashara. Hivyo hapa haina msingi sana.

3. Mfanyabiashara kukuficha ni vipi anatengeneza faida yake nalo sio jambo la ajabu, ni kawaida kabisa na pia ni jambo la busara sana kwa mfanyabiashara kufanya hivyo, maana mara nyingi hiyo ndio msingi wa kuendelea kufanya biashara zake. Wewe mteja wake unataka kujua anapataje faida yake ili iweje?

4. Faida ya biashara huwezi kuipima kipekee kwa kuangalia tofauti ya bei kule anakonunulia na kule anakouza. Kuna mambo mengi mnoo hapo katikati yanayotumla gharama ikiwemo muda, akili, nguvu, hatari ya kupata hasara, kodi, ushuru, usafirishaji, madalali, matangazo nk.
 
Hawa wadada wanaojitangaza kuwa wanakuletea mzigo toka China huwa wanapiga pesa ndefu.

Hizi mishe walizianza akina Faiza Ally. Kwa sasa wamekula wengi hasa wadada.

Iko hivi, wao wanaenda China au wengine wanakua hapa bongo lakini kule anakua na Mchina anaye muamini tayari. Sasa anachagua bidhaa zake na kuzitangazia bei kitonga. Kisha watu wanachanga.

Ukiwauliza wao wanapata faida gani hawajibu, maana katika matangazo yao hawaoneshi service charge inakua ngapi. Lakini kuihalisia wanakua tayari ile Bei wameongeza na chajuu Chao. Mfano viatu anavitangaza kwa Bei ya 3000 kwa masharti ya kuichukua pea elfu kumi. Sasa kwa Mchina pea elfu10 unawe kukuta Kila kiatu kikasimama kwenye 1500.

Sasa wao wanachukua 1500 kama malipo Yao.

Sasa ukifanya hesabu 1500* 10000=15,000,000/

Hapo nakula milioni 15 bila jasho

Hongera kwao
Eti anakula milioni 15 bila jasho....hebu kafanye na wewe sasa kama ni bila jasho unasubiri nini. Ingekua bila jasho si kila mtu angekua anafanya
 
Don't try this at home shida Sio wachina tatizo ni wabongo wanaharibu biashara kwa kupiga.
Soon wanawaliza wabongo then kiswahili mingi mara oh mzigo bado mara mchina kala kona,mkienda polisi mtaishia kumaliza sori zenu mahakamani
 
Kumshawishi mtu ambae hakujui akutumie hela umnunulie kitu ndo jasho Hilo!!
Halafu mtu mwenye uwezo wa kununua pea 10,000 lazima ana uwezo wa kwenda mwenyewe
Nauli tu na gharama ukata mtaji Kama utaenda mwenyewe,Kila kitu online unamaliza
 
Back
Top Bottom