Kwanza tangu lini Mafunzo ya kilimo ukafundishiwa posta??Hayo ni yakufundishiwa shamba huko,,ndani ndani sanaa!!🤣🤣🤣🤣 umenikumbusha wale jamaa fulani hivi. Wanakuita posta ghorofa ya kumi, wanaki-whiteboard chao na projector. Wanaanza kukupigisha stori za kilimo, utasikia hekari moja inatoa matikiti 6000, tufanye umekosa unapata matikiti 4000. Ambapo bei ya sokoni sijui 3000 we fanya hutaki tamaa unauza....... unaambiwa kwa mwezi unatengeneza hadi 20M+
Sasa ingia battlefield 😁😁😁
🤣🤣🤣🤣 umenikumbusha wale jamaa fulani hivi. Wanakuita posta ghorofa ya kumi, wanaki-whiteboard chao na projector. Wanaanza kukupigisha stori za kilimo, utasikia hekari moja inatoa matikiti 6000, tufanye umekosa unapata matikiti 4000. Ambapo bei ya sokoni sijui 3000 we fanya hutaki tamaa unauza....... unaambiwa kwa mwezi unatengeneza hadi 20M+
Sasa ingia battlefield 😁😁😁
Jamaa karahasisha mno.Sikuzote nasemaga...
Biashara inafaida sana kwenye maandishi kama hivi, ebu ingia fied mwenyewe ukajionee....😊
Kuishi mjini ni akili na mahesabu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa wadada wanaojitangaza kuwa wanakuletea mzigo toka China huwa wanapiga pesa ndefu.
Hizi mishe walizianza akina Faiza Ally. Kwa sasa wamekula wengi hasa wadada.
Iko hivi, wao wanaenda China au wengine wanakua hapa bongo lakini kule anakua na Mchina anaye muamini tayari. Sasa anachagua bidhaa zake na kuzitangazia bei kitonga. Kisha watu wanachanga.
Ukiwauliza wao wanapata faida gani hawajibu, maana katika matangazo yao hawaoneshi service charge inakua ngapi. Lakini kuihalisia wanakua tayari ile Bei wameongeza na chajuu Chao. Mfano viatu anavitangaza kwa Bei ya 3000 kwa masharti ya kuichukua pea elfu kumi. Sasa kwa Mchina pea elfu10 unawe kukuta Kila kiatu kikasimama kwenye 1500.
Sasa wao wanachukua 1500 kama malipo Yao.
Sasa ukifanya hesabu 1500* 10000=15,000,000/
Hapo nakula milioni 15 bila jasho
Hongera kwao
Hesabu ya kizembe sana. Haya India na wewe kafanye biashara hiyo, si umeona ina faida.Hawa wadada wanaojitangaza kuwa wanakuletea mzigo toka China huwa wanapiga pesa ndefu.
Hizi mishe walizianza akina Faiza Ally. Kwa sasa wamekula wengi hasa wadada.
Iko hivi, wao wanaenda China au wengine wanakua hapa bongo lakini kule anakua na Mchina anaye muamini tayari. Sasa anachagua bidhaa zake na kuzitangazia bei kitonga. Kisha watu wanachanga.
Ukiwauliza wao wanapata faida gani hawajibu, maana katika matangazo yao hawaoneshi service charge inakua ngapi. Lakini kuihalisia wanakua tayari ile Bei wameongeza na chajuu Chao. Mfano viatu anavitangaza kwa Bei ya 3000 kwa masharti ya kuichukua pea elfu kumi. Sasa kwa Mchina pea elfu10 unawe kukuta Kila kiatu kikasimama kwenye 1500.
Sasa wao wanachukua 1500 kama malipo Yao.
Sasa ukifanya hesabu 1500* 10000=15,000,000/
Hapo nakula milioni 15 bila jasho
Hongera kwao
Eti wana kiwhiteboard chao na projector.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenikumbusha wale jamaa fulani hivi. Wanakuita posta ghorofa ya kumi, wanaki-whiteboard chao na projector. Wanaanza kukupigisha stori za kilimo, utasikia hekari moja inatoa matikiti 6000, tufanye umekosa unapata matikiti 4000. Ambapo bei ya sokoni sijui 3000 we fanya hutaki tamaa unauza....... unaambiwa kwa mwezi unatengeneza hadi 20M+
Sasa ingia battlefield [emoji16][emoji16][emoji16]
Hii ni ukweli kabisa,wateja wengi wanakuwa na negative mindset so ikitokea mistake ndogo tu wanakuchafuaNi biashara ngumu sana, kuitwa tapeli ni kugusa tu umeshachafuka.
Hapo sijamuona mdau anaitwa TRA unamtaja..... (Customs and Duty); Huyu mdau unaweza kununua kitu senti tano yeye akataka umuachie shilingi
Unahesabu faida kwa kuandalia hiyo 1500 aliyoipata kati ya 3000?Hawa wadada wanaojitangaza kuwa wanakuletea mzigo toka China huwa wanapiga pesa ndefu.
Hizi mishe walizianza akina Faiza Ally. Kwa sasa wamekula wengi hasa wadada.
Iko hivi, wao wanaenda China au wengine wanakua hapa bongo lakini kule anakua na Mchina anaye muamini tayari. Sasa anachagua bidhaa zake na kuzitangazia bei kitonga. Kisha watu wanachanga.
Ukiwauliza wao wanapata faida gani hawajibu, maana katika matangazo yao hawaoneshi service charge inakua ngapi. Lakini kuihalisia wanakua tayari ile Bei wameongeza na chajuu Chao. Mfano viatu anavitangaza kwa Bei ya 3000 kwa masharti ya kuichukua pea elfu kumi. Sasa kwa Mchina pea elfu10 unawe kukuta Kila kiatu kikasimama kwenye 1500.
Sasa wao wanachukua 1500 kama malipo Yao.
Sasa ukifanya hesabu 1500* 10000=15,000,000/
Hapo nakula milioni 15 bila jasho
Hongera kwao
Kwanini Hile na siyo Ile?Naona umekurupuka, Hiyo biashara sio hvyo unavyofikiri kwamba wanapata hela unavyofikiria
Hile ni biashara ngumu sana we acha tu