Kidedya
Member
- Feb 24, 2020
- 56
- 37
Ndugu mabaharia na maharia, kama title inavosomekahapo juu, hilo neno kwangu limekuwa ni kitendewili sana hasa ninapokuwa nachati na marafiki wakike.
Unakuta unamsalimia anakujibu, halafu baada ya hapo zinaanza kumiminika izo 'Nambie'
Yaani kila baada ya neno, itafuata nambie, ukijibu unaambiwa tena nambie, unajibu unaambiwa nambie. Sielewi huwa nakosea kujibu au la
Nimelileta kwenu kama na ninyi ni wahanga basi tupeane uzoefu kimtindo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakuta unamsalimia anakujibu, halafu baada ya hapo zinaanza kumiminika izo 'Nambie'
Yaani kila baada ya neno, itafuata nambie, ukijibu unaambiwa tena nambie, unajibu unaambiwa nambie. Sielewi huwa nakosea kujibu au la
Nimelileta kwenu kama na ninyi ni wahanga basi tupeane uzoefu kimtindo.
Sent using Jamii Forums mobile app