Calvinn
Member
- Mar 5, 2020
- 18
- 10
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wale wanaoandika vifupi, wananikera sana yaani.
Sana anaandika xn,
Poa anaandika p,
Tuonane anaandika 2o8,
Nakuja anaandika nkj.
Mm nawaambia kabisa sikuelewi.
Sawa boss naacha nitachat na wewe
P tyuuHahaha, kuna vile vitoto ukikisalimia kinakujibu "Poa tyuu"
Hahahaa ila kuna watu wamepindaa
Yani mi mtu akiniambia ilo neno "sema" huwa nahisi km ni ugomvi vile. Sijui nalionaje. Lzm nimzodoe tu huyo mtu. " kuwa ni ugomv ss?".Si bora Hiyo Nambie
Mtu anakwambia Sema
Mimi: Mkuu niaje?
Yeye: Shwari Sema ?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Yeah [emoji23]Yani mi mtu akiniambia ilo neno "sema" huwa nahisi km ni ugomvi vile. Sijui nalionaje. Lzm nimzodoe tu huyo mtu. " kuwa ni ugomv ss?".
Itakuwa ameweka auto replyNdugu mabaharia na maharia, kama title inavosomekahapo juu, hilo neno kwangu limekuwa ni kitendewili sana hasa ninapokuwa nachati na marafiki wakike.
Unakuta unamsalimia anakujibu, halafu baada ya hapo zinaanza kumiminika izo 'Nambie'
Yaani kila baada ya neno, itafuata nambie, ukijibu unaambiwa tena nambie, unajibu unaambiwa nambie. Sielewi huwa nakosea kujibu au la
Nimelileta kwenu kama na ninyi ni wahanga basi tupeane uzoefu kimtindo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dadek niko na penzi jipya sasa kila akituma text ni zahivyo nishamchana sielewi ila bado anatuma sasa hivi najipanga upya akituma ya namna hiyo ni kumtwangia simu tu sina mda wa kupoteza habari za kuchat nadhani zimemshindaKuna wale wanaoandika vifupi, wananikera sana yaani.
Sana anaandika xn,
Poa anaandika p,
Tuonane anaandika 2o8,
Nakuja anaandika nkj.
Mm nawaambia kabisa sikuelewi.
Pole na hongera ila mbadilishe taratibu tu atazoea.Dadek niko na penzi jipya sasa kila akituma text ni zahivyo nishamchana sielewi ila bado anatuma sasa hivi najipanga upya akituma ya namna hiyo ni kumtwangia simu tu sina mda wa kupoteza habari za kuchat nadhani zimemshinda
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]nimwambie wifi yake anakusalimiaPole na hongera ila mbadilishe taratibu tu atazoea.
Mpe salam zangu
Yes exactly, sisitiza mimi ni mpinga vifupi
OK...anakuandia k...kuna ile mtu anakutext "pga" ndio amemaanisha nipigie kiukweli inakera.