"Niambie", hili neno jibu lake sahihi ni lipi hasa?

"Niambie", hili neno jibu lake sahihi ni lipi hasa?

Neno nambie mnalipenda sana wanaume aisee linaboa sana.kama MTU namheshimu akisema nambie majibu poa. Tofauti na hapo sijibu.
 
Wengine hao hapo
tapatalk_1582309904944.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
me manz angu alikua nayo an anaeza akuambie niambie had akuambie tena an ndan ya dakika tano umepikwa niambie kama kumi nikawa kila akiniambia niambie natulia, nikaja kumchana kuwa akiniambia niambie huwa nakausha manake alikuja kukomplain mbn sijibu text
hyo niambie inaboa kama zile za kutumia x badala ya s
 
mtu akiniabia hilo neno niambie ndio end of conversation, sijibu chochote tena.
 
Ndugu mabaharia na maharia, kama title inavosomekahapo juu, hilo neno kwangu limekuwa ni kitendewili sana hasa ninapokuwa nachati na marafiki wakike.

Unakuta unamsalimia anakujibu, halafu baada ya hapo zinaanza kumiminika izo 'Nambie'

Yaani kila baada ya neno, itafuata nambie, ukijibu unaambiwa tena nambie, unajibu unaambiwa nambie. Sielewi huwa nakosea kujibu au la

Nimelileta kwenu kama na ninyi ni wahanga basi tupeane uzoefu kimtindo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa ameweka auto reply

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wale wanaoandika vifupi, wananikera sana yaani.

Sana anaandika xn,
Poa anaandika p,
Tuonane anaandika 2o8,
Nakuja anaandika nkj.

Mm nawaambia kabisa sikuelewi.
Dadek niko na penzi jipya sasa kila akituma text ni zahivyo nishamchana sielewi ila bado anatuma sasa hivi najipanga upya akituma ya namna hiyo ni kumtwangia simu tu sina mda wa kupoteza habari za kuchat nadhani zimemshinda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dadek niko na penzi jipya sasa kila akituma text ni zahivyo nishamchana sielewi ila bado anatuma sasa hivi najipanga upya akituma ya namna hiyo ni kumtwangia simu tu sina mda wa kupoteza habari za kuchat nadhani zimemshinda

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole na hongera ila mbadilishe taratibu tu atazoea.

Mpe salam zangu
 
Back
Top Bottom