Iyo poa inaandikwa "pwa tyuu" hahahaaaaa kazi sanaHahaha, kuna vile vitoto ukikisalimia kinakujibu "Poa tyuu"
Kesho Asubuhi nalitumia hili jibuswali.Jibu ambalo nampa mpuuzi kama huyo huwa namuuliza
"Nikikwambia utakubali?"
Nje ya mada. Kuna watu wengine wapuuzi kweli kweli. Unakuta mtu anakutext mwenyewe then baada ya salamu anakuambia niambie dah!!! Walah mimi huwa naachia hapo hapo kuchat.
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na huyo. Kuna mwingine anakupigia simu halafu anabaki kuguna gun tu. Mara , enhe! Nakusikiliza n.k wanakera sana mimi huea nakata simu na akirudia kupiga nakata.
Hii hata mimi nakumbana nayo sana yaan inaboa kinomaNje ya mada. Kuna watu wengine wapuuzi kweli kweli. Unakuta mtu anakutext mwenyewe then baada ya salamu anakuambia niambie dah!!! Walah mimi huwa naachia hapo hapo kuchat.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii imetulia safiiiJibu ambalo nampa mpuuzi kama huyo huwa namuuliza
"Nikikwambia utakubali?"
Kwahiyo mtu akikutumia Niambie" tayari ashakuwa mpuuzi?!!!Jibu ambalo nampa mpuuzi kama huyo huwa namuuliza
"Nikikwambia utakubali?"
Leo hii nimekuwa mpuuzi?maisha yanaenda kasi kinyamaaaa😂😂😂😂Jibu ambalo nampa mpuuzi kama huyo huwa namuuliza
"Nikikwambia utakubali?"
Leo hii nimekuwa mpuuzi?maisha yanaenda kasi kinyamaaaa😂😂😂😂
Siipendi hii Tabia...sasa nikwambie nini wakati wewe ndo umeanza nitxtNje ya mada. Kuna watu wengine wapuuzi kweli kweli. Unakuta mtu anakutext mwenyewe then baada ya salamu anakuambia niambie dah!!! Walah mimi huwa naachia hapo hapo kuchat.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukome kuranda randa ovyo.
Kama ni demu wako nayo inakuaje hapoukiwa unachat na mdada akakwambia nambie ujue anahitaji kutongozwa