"Niambie", hili neno jibu lake sahihi ni lipi hasa?

Mimi huwa nakereka na wale wanaoandika kijingajinga mara poa tyu, mzma ww, mekumith, nk. Huwa nawatoa nduki balaa. Sikuhizi wameanza kuzoea, wanaandika vizuri. Yaani niumize kutafuta pesa kisha niumize kichwa kusoma mwandiko wako! Kichwa hikihiki kimoja, hapana kwa kweli.
 
Kwahiyo mtu akikutumia Niambie" tayari ashakuwa mpuuzi?!!!
Dah!.......nimekumbuka 😩
Leo hii nimekuwa mpuuzi?maisha yanaenda kasi kinyamaaaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sikujua kama mtapita huku bana. Hivi nyie mbona sikumbuki mkiniambia "nambie"? Nahisi mtakuwa mmechanganya mafile. πŸ˜†πŸ˜†
 
Sikujua kama mtapita huku bana. Hivi nyie mbona sikumbuki mkiniambia "nambie"? Nahisi mtakuwa mmechanganya mafile. πŸ˜†πŸ˜†
Aisee mimi sijachanganya 😩😩
Nakumbuka vizuri sana, daah! πŸ™ŒπŸ€£πŸ€£
 
kuna kitu unakosea, mwanamke akikupa nambie nyingi humaanisha hana interest na ww,

mwanamke aliye na interest na ww atakutania sana badala ya kukwambia nambie au hata akasema ame kumiss


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kiukweli mie sijawahi kutumia hilo neno kwa yoyote

Lakini hiko cheo cha upuuzi kimeniuma πŸ˜‚
Kwakweli hata mimi ningeweza kuedit mda huu ningekatoa ila sasa nishakiweka na kimeshakuwa quoted.

Lakini hebu fikiri kweli mfano nikutumie ujumbe nakusalimia kisha unanijibu alafu nakuambia "nambie". Si utaniona chizi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…