Niambie ni mambo gani ya ajabu ulishawahi kufanya ukiwa na hasira hadi ukikumbuka unaweza kucheka na kujionea aibu kwa wakati mmoja...

Kwa msiomjua Lee, alivokua primary ilibidi tumpeleke kukaa kwa bibi, town alitushinda aisee.
 
Bila shaka haya yote unaowafanyia ni wanaume wa dar usije ukajaribu hii kitu mkoani tutakuua
 
Dem wangu nliyempenda sana alinicheat nikachukia nikamcheat na mdogo wake tukaachana akavurugwa akawa anatiwa ovyoovyo afu moyo unaniuma na yeye anaumia balaa mimi kutoka na mdogo wake tukarudiana ila sasa ana cycle yake na mm nina cycle yangu baadae tukaachana mazima
 
Huoni kama mnaharibu uzi wa mwenzenu? Kwani hakuna nyuzi zingine za kuchat na kubebishana muende huko? Nyang'au nyie.
Nimebebishana na nani? Kwanini iwe nyuzi nyingine, huko kwenye nyingine hatuwezi kuharibu?
Haya yametokea kutokana na mtiririko wa uchangiaji mada. Narudia tena tupo chit chat and jokes jukwaa linaruhusu haya.
 
Tafuta tu pesa msichana, uwe nazo nyingiii, sio za kula kuvaa na kuweka bundle. Maana iko siku utajikuta una murder case na ukose wadhamini, sijui utahonga nini police?
Au utakuja kuingia 18 za walioshindikana wakufanyie maajabu, tuje kukusoma
Magazetini.

Kingine, sali sana hizo hasira zikutoke. Watoto ni malaika, ila wewe umeenda kummwagia chill sauce??? Huoni unaweza kumkaba/ kumchoma mtoto pasi siku akimess up? Hichi ulichokifanya hapa sidhani kama ni roho ya kawaida.
 
Duh... hapa ulipitiliza aisee
 
Duuh, bora mlivyoachana maana sio kwa cycle hizo🤒🤒
 
Sukari imepanda bei ila wewe umeweka sukari nyingi sana kwenye hii chai yako. Pia chai hii imepoa sana. Ingetakiwa uichemshe kidogo.
 
Ila binti chugah 😃😀, Sema kweli- maana Kuna watu Wana Roho kavu.
 
kuhusu pesa za kuhonga hilo ondoa shaka maana nimezaliwa nazo kipenzi, na zinaendelea kuwepo. Yaani zipo kwenye chain
Umeenda mbali sana aisee... Anyways thanks
 
kuhusu pesa za kuhonga hilo ondoa shaka maana nimezaliwa nazo kipenzi, na zinaendelea kuwepo. Yaani zipo kwenye chain
Umeenda mbali sana aisee... Anyways thanks
Ni kweli ameenda mbali nadhani "Bapa la Konyagi lilimpeleka high" miss cha Pombe wetu depal.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…