Kama siyo mjinga unapotosha kwa makusudi! Mfano wewe umeajiriwa January mwaka huu unataka upate increment sawa na aliyeajiriwa July mwaka jana? Be sensible guy!
Sibishani na nguruwe! Ni Haram!
Nimekuelewa sanaMsitukanane. Hamuwezi kutoboa kwa kutegemea mishahara ya Umma.
Hilo ongezeko la mwaka ni 5% of your basic . Kama una mshahara wa 1M , annual increment ni 50K .So kwa mwaka mzima una subiria elf 50 ; tuwe serious kidogo wabongo.
However, ni sawa kuulizia maana ni haki ya mtumishi, lakini sio Sawa kuwaza it will have big impact kwenye personal life.
Lakini pia mjifunze kuelewa wanasiasa ufanyaji wao wa kazi. Ni uongo ongo tu; tuliahidiwa kila kijiji kitapewa Mil 50; vingapi vimepewa?
Ni kweli Ngosha Pombe was tough , but atleast, he was honesty .
Na huu ndo utumishi wa umma tukae humo[emoji8][emoji8][emoji8]Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Atabaki kuwa Raisi bora mpaka SasaRais Bora wa matope ya bandari kama chekechea bure kabisa
Alikuwa honest!?Msitukanane. Hamuwezi kutoboa kwa kutegemea mishahara ya Umma.
Hilo ongezeko la mwaka ni 5% of your basic . Kama una mshahara wa 1M , annual increment ni 50K .So kwa mwaka mzima una subiria elf 50 ; tuwe serious kidogo wabongo.
However, ni sawa kuulizia maana ni haki ya mtumishi, lakini sio Sawa kuwaza it will have big impact kwenye personal life.
Lakini pia mjifunze kuelewa wanasiasa ufanyaji wao wa kazi. Ni uongo ongo tu; tuliahidiwa kila kijiji kitapewa Mil 50; vingapi vimepewa?
Ni kweli Ngosha Pombe was tough , but atleast, he was honesty .
Acha kudanganya haipo hivyo.km hujui kitu ni Bora kunyamaza.Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Kumbe hakukuwa na ongezeko la mshahara kwa miaka yote ya awamu ya 5?Jiwe alikuwa mvunjifu wa sheria na taratibu; ndo maana hata mishahara aligoma kuongeza kwa miaka 6 bila kujali sheria, Jiwe alikuwa mdudu wa HOVYO!