Niamini..Usitoe Code ya Biashara Yako...!

Umechelewa sana kujua hili. Hata hapa JF ukiona mtu kaja na code ya biashara na anashawishi watu wajiunge basi ujuwe kuwa anatafuta watu wa kupiga. Nina maana kuwa hakuna anayetoa siri ya biashara anayofanya. Pengine huyo mke wako ulikuwa hujamfundisha? Au wale ambao hawana siri, kwao mume ni mtu baki, lakini shoga ndiye muhimu?
 
Hakuna cha code wala ujinga gani, hakuna kipya chini ya jua. Kila kitu ni Consistency tu unaweza pewa hizo code na usifike mbali kama ukikosa Consistency na nidhamu
Ndio maana wao waliishindwa hiyo biashara...ila walinicost sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…