Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo ujinga. Ndiyo maana Coca Cola wanaficha siri ya vionjo wanavyoweka.Ujinga plus inferiority complex.
Hiyo code kwanza ikoje? Imekaa kaajeSasa kwa vile Biashara yenyewe sio deal tena, na labda huifanyi tena, emu ielezee hapa ili tujifunze kwa Vitendo.
Umechelewa sana kujua hili. Hata hapa JF ukiona mtu kaja na code ya biashara na anashawishi watu wajiunge basi ujuwe kuwa anatafuta watu wa kupiga. Nina maana kuwa hakuna anayetoa siri ya biashara anayofanya. Pengine huyo mke wako ulikuwa hujamfundisha? Au wale ambao hawana siri, kwao mume ni mtu baki, lakini shoga ndiye muhimu?Biashara ni siri..aisee usitoe code kabisa
Mimi kuna biashara nilikua nafanya 7years back sasa bana nikampa code wife...wife ana rafiki yake si ampa siri yote!
Nakuja ingiza mzigo sokoni aisee! Soko Limejaa..nikabaki najiuliza
Nikatumia umafia sana nikajua ni yule dem na mumewe
Nika mbana yule dem si ndio aliniambia wife ndio alimwambia aisee ilikua balaa
......ila baadae waliishindwa na baadae ikawa sio deal tena
Ila nilijifunza..
Sa hivi code yangu ni yangu!
Ndio maana wao waliishindwa hiyo biashara...ila walinicost sanaHakuna cha code wala ujinga gani, hakuna kipya chini ya jua. Kila kitu ni Consistency tu unaweza pewa hizo code na usifike mbali kama ukikosa Consistency na nidhamu
Halafu sasa hela nilichukua kwa jamaa anguPole kwa hasara
Kweli mkuuUnapoamua kufungua mdomo wako, hio sio siri tena
Kuongea kunacost sana aisee...Mkuu,
Very true Mimi mwenyewe sitoi CODE dats why siandikagi humu how to KICK LIFE & ODDS
Muda flani najionaga kama mbinafsi ivi ila acha iwe ivyooo
[emoji3526][emoji4][emoji4]
Mkuu wasikudanganye wana machimbo yao mkuuInategemea na aina ya biashara, wazalishaji wa vinywaji, kemikali, mavazi n.k wanauza kila siku na hakuna siri
Mkuu biashara anaekupa code ni yule anaetaka kukutoa kimaishaMtoa Maada acha choyo dunia hii hatushindani
Kuna vittu naagizaga south ni vidogo vidogo tuIlikuwa biashara gani mkuu tupe madini
Balaaa .ukiulizwa juu ya biashara yako wewe sema ni hasara tuh
Lugha mpyaDj afroo uyo anamaanisha makosa
Code zipo sana kuna kipindi nilichoka mno kuna mtoto wa mama mdogo akanipa code aisee...acha tuKumbe wakuu mna code embu mfungue uzi wa code nasisi tucopy na ku paste tutoboe
Tafuta clip au muvi za dj afroo wa kenya, ni lugha iliyozoeleka kwenye kazi zake.Lugha mpya
Nisije nikatoa code hapa ila kuna siku nitatoa code moja matataZinazoitwa code mara nyingi ni ujanja ujanja na biashara haramu!