Niandae bajeti ya mafuta kiasi gani kwenda Singida?

Niandae bajeti ya mafuta kiasi gani kwenda Singida?

kikiboxer

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2017
Posts
3,668
Reaction score
9,809
Wakuu mambo vipi?
Mapema mwezi October nina ndugu yangu wa karibu anaoa huko Singida maeneo ya Itigi.

Ninapaswa kuhudhuria hiyo harusi sasa nauliza kwa wazoefu kutoka Dar mpaka Singida hapo Itigi niandae bajeti ya mafuta kiasi gani?

Gari ni Toyota Mark II grande engine beams 2000, cc 1990 au 2ltrs wanasema wengine.

Nasubiri maoni yenu wadau.
 
Hakikisha tu unafanya service, itapunguza sana fuel consumption, two, hakikisha uendeshaji wako ni mzuri, ukiweza kuchezea kwenye RPM ya 2-3.5 utasevu pakubwa saaaana, Mafuta ya 450,000 Hadi 550,000 "yanaweza" kuwatosha. Hakikisha unajaza full tank, usijaze Robo robo pia usijaze kwenye vituo vya kihuni.

Last month nilitoka Dar, nikaenda Kwa Msisi (Mkata-Tanga) then nikaendelea na safari ya Dodoma nikaenda Matumbulu, nikaenda Manyoni Hadi Itigi.

Niliondoka saa tisa usiku Dar, nikajaza Mafuta ya 220,000 pale Mlimani city, nikaenda safari zangu, nikaja kujaza Mafuta ya 40,000 Ihumwa wakati naingia Dodoma, Kesho nikaenda Matumbulu (25km) Kutoka Dodoma mjini Ile Iringa road then mchana nikaendelea na safari nikajaza pale Total kule four ways ya 50,000 nilipofika Manyoni nikajaza ya 50,000. Nikafika Itigi nikiwa na robo tank juu kidoogo Karibu na half.

Kwa wewe unayeenda Moja kwa Moja nadhani hata 250,000 Inawezekana ikakufikisha depending na aina Yako ya uendeshaji

Nilihakikisha sizidi 4rpm kwahio karibia 90% ya safari nilikua Chini ya hapo, sikua na ligi na mtu barabarani.
Gari ilikua ni BMW salon.
 
Kwa hesabu za kilomita za Dar to Itigi ni 605 hivi na kwa kadirio la ulaji wa gari yako kama 1ltr inafika km 9 basi hapo unaweza kutumia ltr kama 67x2= 134 go & return na mizunguko ya huko ukiweka ltr10 =144 kwa hiyo hapo ukiweka 150 unakuwa na amani kabisa na kama alivyokushauri Elli hapo juu usikimbie saana cheza na RPM 2.5 /3.5utakuja kutushukuru hapa ikiwa gari yako iko sawa sawa plug na airclener iko kwenye hali nzuri.

Hilo kadirio la juu sana nililoweka hapo nilitembea na Premior old model yenye engine ya 3S dar to kahama ltr67.
 
Kwa hesabu za kilomita za dar to itigi ni 605 hivi na kwa kadirio la ulaji wa gari yako kama 1ltr inafika km9 basi hapo una weza kutumia ltr kama 67x2= 134 go & return na mizunguko ya huko ukiweka ltr10 =144 kwa hiyo hapo ukiweka 150 unakuwa na amani kabisa na kama alivyokushauri Elli hapo juu usikimbie saana cheza na RPM 2.5 /3.5utakuja kutushukuru hapa ikiwa gari yako iko sawa sawa plug na airclener iko kwenye hali nzuri.
Umemshauri kitaalamu, na upo sahihi kabisa.
 
Hamnaga 3s kwenye premio
Kwa hesabu za kilomita za dar to itigi ni 605 hivi na kwa kadirio la ulaji wa gari yako kama 1ltr inafika km9 basi hapo una weza kutumia ltr kama 67x2= 134 go & return na mizunguko ya huko ukiweka ltr10 =144 kwa hiyo hapo ukiweka 150 unakuwa na amani kabisa na kama alivyokushauri Elli hapo juu usikimbie saana cheza na RPM 2.5 /3.5utakuja kutushukuru hapa ikiwa gari yako iko sawa sawa plug na airclener iko kwenye hali nzuri.

Hilo kadirio la juu sana nililoweka hapo nilitembea na Premior old model yenye engine ya 3S dar to kahama ltr67.
 
Kwa hesabu za kilomita za dar to itigi ni 605 hivi na kwa kadirio la ulaji wa gari yako kama 1ltr inafika km9 basi hapo una weza kutumia ltr kama 67x2= 134 go & return na mizunguko ya huko ukiweka ltr10 =144 kwa hiyo hapo ukiweka 150 unakuwa na amani kabisa na kama alivyokushauri Elli hapo juu usikimbie saana cheza na RPM 2.5 /3.5utakuja kutushukuru hapa ikiwa gari yako iko sawa sawa plug na airclener iko kwenye hali nzuri.

Hilo kadirio la juu sana nililoweka hapo nilitembea na Premior old model yenye engine ya 3S dar to kahama ltr67.
Mkuu, nilidhani ukiwa highway kwenye mwendo mkali ndio inaokoa mafuta. Nifungue macho hapo mkuu
 

Attachments

  • Screenshot_2022-09-05-12-23-00-470_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2022-09-05-12-23-00-470_com.android.chrome.jpg
    48.1 KB · Views: 39
  • Screenshot_2022-09-05-12-22-40-121_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2022-09-05-12-22-40-121_com.android.chrome.jpg
    84.2 KB · Views: 38
  • Screenshot_2022-09-05-12-23-00-470_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2022-09-05-12-23-00-470_com.android.chrome.jpg
    48.1 KB · Views: 32
  • Screenshot_2022-09-05-12-22-48-566_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2022-09-05-12-22-48-566_com.android.chrome.jpg
    54.3 KB · Views: 33
Vitu vingine muache ubishi hapa siwezi kuposti gari halisi ila tambua tuu hiyo gari ipo na wala si moja zipo nyingi tuu za mwaka 1999 na ni manual gear.
 

Attachments

  • Screenshot_2022-09-05-12-22-48-566_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2022-09-05-12-22-48-566_com.android.chrome.jpg
    54.3 KB · Views: 28
  • Screenshot_2022-09-05-12-22-40-121_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2022-09-05-12-22-40-121_com.android.chrome.jpg
    84.2 KB · Views: 26
  • Screenshot_2022-09-05-12-22-29-746_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_2022-09-05-12-22-29-746_com.android.chrome.jpg
    50.8 KB · Views: 33
Rpm kwa gia husika speed ni fixed haitabadilika kamwe

Hi maswala ya tembea na rpm flani.. unataka sema kwamba hata akiwa 140kph rpm anaweza amua iwe 2.5😁🤔

Gear ni fixed ratio hazibadiliki kama 4th gear rpm ikawa 3k na speed ikawa 120kph Basi huwezi fika 130 afu rpm imebaki pale pale utacross multiplication kujua RPM itakuwa ngap Kama utasogea Hadi 130 na kuendelea
Pia maswala ya RPM kila engine kwenye body husika zitakuwa tofauti kulingana na nguvu ya engine

Mfano pindi premio ikiwa na 4th gear 3k rpm speed ni 120 Basi engine kubwa zaidi inaeza kaa vizuri 120kph bila rpm kufika 3k au engine ndogo inaeza fika hio speed mfano Suzuki kei 0.7l ila haiwezi kaa RPM tatu Kama ilivokaa premio na magari mengine

3K rpm last gear kwa range Rover ya 2013 diesel 4.4L v8 speed hapo itakuwa 220kph

Premio, mark x, crown, brevis 3k rpm last gear speed huwa 120-135kph
Kirikuu 3k rpm speed ikizid sana ni 90

Toyo 3k speed 35 gia ya mwsho

Kwa hio ushauri atembee speed 80-90 mwendo mzuri wa wese rpm itakapokuwa hapo hapo ndo uwezo wa gari
 
Back
Top Bottom