Niandae bajeti ya mafuta kiasi gani kwenda Singida?

Niandae bajeti ya mafuta kiasi gani kwenda Singida?

Mkuu, nilidhani ukiwa highway kwenye mwendo mkali ndio inaokoa mafuta. Nifungue macho hapo mkuu
Yes ukiwa highway inaokoa mafuta lkn kuna, conditiom kuna spidi ukishuka basi gari inakula mafuta sana na kuna spidi ukivuka pia inakula mafuta sana. Kwa gari yangu nikiendeshea spidi kati ya 80 na 100 hasa nikikaa muda mrefu kwenye 90, gari huwa inakula 16 km/l. Nikienda kati ya 120 na 140 gari huwa inakula kati ta 14-12Km/L.

Nadhani ushaanza kuelewa. Kila gari lina optimum speed yake. Kwa lugha rahisi, optimum speed ni ile ambayo gari inakwenda mwendo mzuri na inatumia mafuta kiwango cha chini kabisa.
 
Aiseeee hiyo engine usifananishe na 1G utaingiza watu vichakani likija suala la consumption.


Hazifanani hata kidogo. Hasa Highway...
HAPANA, nimezungumzia experience yangu binafsi na hesabu nikaziweka pale, sijashawishi mtu! Nimeeleza tu experience yangu ya hio safari, nothing else! Ni suala la mtu kukubali au kukataa ni la kwake sio langu Tena!
 
Huwenda ikawepo labda kwa matoleo ya miaka ya 80-2000 maana only 2.0L engine iliokuwa sokoni zaidi ni 3S-FE.

Kwa gari za kuanzia 2001 to date wakitaka kuuza za 2.O zinakuja na engine yenye ugomvi na mafundi Tanzania nzima 😂😂😂 2.0L 1AZ-FE au wanapenda kuiita D-4! Hio hata gari iwe imesajiliwa EAF ukitaka kuuza leo offer zitanzia million 8

Yes zipo ila ni kwenye Carina na Premio zilizotengenezwa before 2000.

1az fse ni engine nzuri kama mtu anaweza matunzo, Ina consumption nzuri kuliko engine kama hiyo ambayo siyo D4.
 
Ila Kuna Watu ni wabishi, nimeendesha Hadi 140km/hr kwa rpm ya 3.....sasa kama gari Ina speed 260km/hr anashangaa Nini hio rpm?
Kuna gari nyingi tu at 200 kitu inabadili gear.

Sasa gari kama hiyo at 140kph rpm kuwa around 2k mpaka 3k ni kitu cha kawaida tu.
 
Kwa hesabu za kilomita za dar to itigi ni 605 hivi na kwa kadirio la ulaji wa gari yako kama 1ltr inafika km9 basi hapo una weza kutumia ltr kama 67x2= 134 go & return na mizunguko ya huko ukiweka ltr10 =144 kwa hiyo hapo ukiweka 150 unakuwa na amani kabisa na kama alivyokushauri Elli hapo juu usikimbie saana cheza na RPM 2.5 /3.5utakuja kutushukuru hapa ikiwa gari yako iko sawa sawa plug na airclener iko kwenye hali nzuri.

Hilo kadirio la juu sana nililoweka hapo nilitembea na Premior old model yenye engine ya 3S dar to kahamariki ltr67.
Barikiwa mkuu.
 
Ila Kuna Watu ni wabishi, nimeendesha Hadi 140km/hr kwa rpm ya 3.....sasa kama gari Ina speed 260km/hr anashangaa Nini hio rpm?
Mkubwa hii ishu ya RPM has a lot to do na idadi ya gears. Gari nyingi za Toyota automatics zina gear 4.

Ili ku cover speed yote ya kisahani lazma gia ziwe ndefu ndefu ila kikomo huwa ni 5,600-6,000 😂! Sasa gear 4 uzigawe kwenye 6K rpm sio mchezo ndio maana gari nyingi including yangu nikishazidi 120 tu rpm inakimbilia 3! Hamna jinsi utafanya, gari ina gear 4 na kumaliza speed lazma rpm zifike ukomo.

Ila Mark X yenye gia 6 unaweza laza mshale ikiwa hata haijafika 3500rpm. Engine kubwa haitumii nguvu sana ku acquire speed.

Same as BMW wao gari zao wanajaza gia nyingi so ni rahisi gari kufika speed kubwa ikiwa kwenye rpm ndogo. Unakuta gari ina gear 8 ila ukifika gear ya 4 tu tayari uko 150 rpm bado iko chini.
 
Same as BMW wao gari zao wanajaza gia nyingi so ni rahisi gari kufika speed kubwa ikiwa kwenye rpm ndogo. Unakuta gari ina gear 8 ila ukifika gear ya 4 tu tayari uko 150 rpm bado iko chini.
Shukrani saaana umeiweka vyema sana
 
Yes zipo ila ni kwenye Carina na Premio zilizotengenezwa before 2000.

1az fse ni engine nzuri kama mtu anaweza matunzo, Ina consumption nzuri kuliko engine kama hiyo ambayo siyo D4.
Yeah kwa kula inakula vyema sana na iko powerful. 160HP gari inakuwa njema sana na average inakupa 12KM/L ni engine poa sana.

Tatizo ni kichaa chake kikianza, gari inaweza ikakufilisi.
 
Ila Kuna Watu ni wabishi, nimeendesha Hadi 140km/hr kwa rpm ya 3.....sasa kama gari Ina speed 260km/hr anashangaa Nini hio rpm?
Ni Nani kabisha? Speed versus rpm ni kutegemea na ukubwa wa engine yako kadri nguvu inavoongezeka ndivo engine haiitaji kuzunguka sana ku compensate ndio Mana manufacture wanaeka ratio kubwa kwa gear box.


Hata gia mnaeza lingana idadi ila ratio zikawa tofauti.

Eg agera ina gia 7 tu evoque ina 9 kabisa ila agera gia tatu tu ukalaza rpm au nne ukaichapa to the max redline hako ka evoque na Kaka yake hata ziwe zimepanga gia zote 9 bado itakuwa na speed ndogo kuliko agera.

Suzuki 1L bike gia ya kwanza mshale redline kule speed inafika 153kph where XL250 hio speed ni ya kutafuta na gia ya mwsho kabisa full throttle.

Jinsi hio gari yako inakaa 140kph rpm 3 Basi jua wenye Nissan y62 hip speed wanakaa rpm inakuwa pungufu sababu engine inajiweza.
 
Kuna gari nyingi tu at 200 kitu inabadili gear.

Sasa gari kama hiyo at 140kph rpm kuwa around 2k mpaka 3k ni kitu cha kawaida tu.
Shukrani sana Sana, umeiweka vizuri sana ila kama mtu amezoea kuendesha baby walker hawezi kukuelewa
 
Ni Nani kabisha ? Speed versus rpm ni kutegemea na ukubwa wa engine yako kadri nguvu inavoongezeka ndivo engine haiitaji kuzunguka sana ku compensate ndo Mana manufacture wanaeka ratio kubwa kwa gear box


Hata gia mnaeza lingana idadi ila ratio zikawa tofauti

Eg agera ina gia 7 tu evoque ina 9 kabisa ila agera gia tatu tu ukalaza rpm au nne ukaichapa to the max redline hako ka evoque na Kaka yake hata ziwe zimepanga gia zote 9 bado itakuwa na speed ndogo kuliko agera

Suzuki 1L bike gia ya kwanza mshale redline kule speed inafika 153kph where XL250 hio speed ni ya kutafuta na gia ya mwsho kabisa full throttle
Jinsi hio gari yako inakaa 140kph rpm 3 Basi jua wenye Nissan y62 hip speed wanakaa rpm inakuwa pungufu sababu engine inajiweza
Raila kapigwa chini huku aiseeee, dah
 
Brother nauwezo wa kyuingiza gia zote rpm isivuke 3 na nikaenda hata speed 180 rpm isivuke 3...

Automatica vehicle unaweza kuengage gia zote kama manual tu na ukaweza kucontrol rpm isivuke 3

180kph

Kwenye Toyota

Mshale usivuke 3

Okayyyyyy
 
HAPANA, nimezungumzia experience yangu binafsi na hesabu nikaziweka pale, sijashawishi mtu! Nimeeleza tu experience yangu ya hio safari, nothing else! Ni suala la mtu kukubali au kukataa ni la kwake sio langu Tena!
Okay ndio hivo... Hiyo engine yako consumption yake na consumption ya 1G ni mbali na mbali.
 
Back
Top Bottom