Niandae bajeti ya mafuta kiasi gani kwenda Singida?

Niandae bajeti ya mafuta kiasi gani kwenda Singida?

Yes CVT Kuna ka uhafadhali


Nishatoka na 5A safari kilometa 920.. speedometer haikuwa accurate dash ikisoma 70kph speed iko 103 kwa gps

Hapo huenda ulifunga tyre size kubwa isiyokuwa sahihi kwa mujibu wa mtengenezaji wa gari aliyeipendekeza.
Jamaa ana asili ya ubishi wa ajabu sana. Kuna siku alikuwa anabisha ukubwa wa engine hauhusiani na displacement nikajua hamna mtu hapo,halafu anaelimisha watu kuhusu magari, sometimes ni better kukaa kimya kutokuumiza kichwa.

Humu kuna watu wabishi kama wanalipwa vile kwa ajili ya ubishi wao.
 
Mkubwa hii ishu ya RPM has a lot to do na idadi ya gears. Gari nyingi za Toyota automatics zina gear 4.

Ili ku cover speed yote ya kisahani lazma gia ziwe ndefu ndefu ila kikomo huwa ni 5,600-6,000 😂! Sasa gear 4 uzigawe kwenye 6K rpm sio mchezo ndio maana gari nyingi including yangu nikishazidi 120 tu rpm inakimbilia 3! Hamna jinsi utafanya, gari ina gear 4 na kumaliza speed lazma rpm zifike ukomo.

Ila Mark X yenye gia 6 unaweza laza mshale ikiwa hata haijafika 3500rpm. Engine kubwa haitumii nguvu sana ku acquire speed.

Same as BMW wao gari zao wanajaza gia nyingi so ni rahisi gari kufika speed kubwa ikiwa kwenye rpm ndogo. Unakuta gari ina gear 8 ila ukifika gear ya 4 tu tayari uko 150 rpm bado iko chini.
Land cruiser 300 series ina gia 10 auto,
 
Yap !!! Four speed pattern
1 0 to 20 km/h
2 21 to 40km/h
3 41 to 80 km/h
4 81 km/h hadi mwisho
Sijajua pattern za latest auto , ila lqzima zitakuwa very efficient
Kwamba nikiwa na speed 70 na cruise nayo gari haiwezi maliza gia kwamba nitakuwa no 3 Hadi nifike 81🤔
 
Wakuu mambo vipi?
Mapema mwezi October nina ndugu yangu wa karibu anaona huko Singida maeneo ya Itigi.

Ninapaswa kuhudhuria hiyo harusi sasa nauliza kwa wazoefu kutoka Dar mpaka Singida hapo Itigi niandae bajeti ya mafuta kiasi gani?

Gari ni Toyota Mark II grande engine beams 2000, cc 1990 au 2ltrs wanasema wengine.
Nasubiri maoni yenu wadau.
Unakaa siku ngapi huko? Ndio nijue ni kiasi gani ya iyo bajeti...pia nikushauri mafuta ya vaseline ndio mazuri.
 
Kumwambia aendeshe rev kati ya 2 hadi 4 rpm humsaidii sana .
Ni kweli kabisa hizo rev range huwa zinatoa good fuel economy , lakini ni jinsigani unafika kwenye hizo rev ndio somo kuu.
Inatakiwa kukanyaga acc pedal kwa upole sana , assume kuna yai bichi kati ya mguu na pedal , na hutaki yai lipasuke wakati unakanyaga
Hahaa mkuu umeshawahi kuwa ticha wa driving school sio kwa mfano huo.
Kumwambia aendeshe rev kati ya 2 hadi 4 rpm humsaidii sana .
Ni kweli kabisa hizo rev range huwa zinatoa good fuel economy , lakini ni jinsigani unafika kwenye hizo rev ndio somo kuu.
Inatakiwa kukanyaga acc pedal kwa upole sana , assume kuna yai bichi kati ya mguu na pedal , na hutaki yai lipasuke wakati unakanyaga
 
Kwamba nikiwa na speed 70 na cruise nayo gari haiwezi maliza gia kwamba nitakuwa no 3 Hadi nifike 81🤔
Yap ,ipo hivo namba nne huwa haiingii hadi ufike 81 na itatoka kama speed itakuwa chini ya 80km/h , kwa gari za zamani lakini, hizi mpya sijui pattern yake
 
Ila Kuna Watu ni wabishi, nimeendesha Hadi 140km/hr kwa rpm ya 3.....sasa kama gari Ina speed 260km/hr anashangaa Nini hio rpm?
Watu tunagusa karibia 150kph huku RPM zimepoa kama zipo kwenye fridge.... ukiona nasogea kwenye 3 RPM jua naitafuta 170+kph
20220826_164008.jpg
 
Back
Top Bottom