Niandae bajeti ya mafuta kiasi gani kwenda Singida?

Niandae bajeti ya mafuta kiasi gani kwenda Singida?

Rpm kwa gia husika speed ni fixed haitabadilika kamwe

Hi maswala ya tembea na rpm flani.. unataka sema kwamba hata akiwa 140kph rpm anaweza amua iwe 2.5😁🤔

Gear ni fixed ratio hazibadiliki kama 4th gear rpm ikawa 3k na speed ikawa 120kph Basi huwezi fika 130 afu rpm imebaki pale pale utacross multiplication kujua RPM itakuwa ngap Kama utasogea Hadi 130 na kuendelea
Pia maswala ya RPM kila engine kwenye body husika zitakuwa tofauti kulingana na nguvu ya engine

Mfano pindi premio ikiwa na 4th gear 3k rpm speed ni 120 Basi engine kubwa zaidi inaeza kaa vizuri 120kph bila rpm kufika 3k au engine ndogo inaeza fika hio speed mfano Suzuki kei 0.7l ila haiwezi kaa RPM tatu Kama ilivokaa premio na magari mengine

3K rpm last gear kwa range Rover ya 2013 diesel 4.4L v8 speed hapo itakuwa 220kph

Premio, mark x, crown, brevis 3k rpm last gear speed huwa 120-135kph
Kirikuu 3k rpm speed ikizid sana ni 90

Toyo 3k speed 35 gia ya mwsho

Kwa hio ushauri atembee speed 80-90 mwendo mzuri wa wese rpm itakapokuwa hapo hapo ndo uwezo wa gari
Aliyekwambia utapata RPM 2.5 au 3.5 kwenye 140 speed ni nani?

Ukiiendesha gari RPM ya 2.5 au 3.5 hauwezi kuzidi speed 120.

Naona umehamisha goli baada ya kukuwekea ulichokitaka.

Hivyo tukija kwenye matumizi ya RPM utaleta ubishi huenda bado haujaendesha sana gari safari ndefu mara kwa mara.
 
Hakikisha tu unafanya service, itapunguza sana fuel consumption, two, hakikisha uendeshaji wako ni mzuri, ukiweza kuchezea kwenye RPM ya 2-3.5 utasevu pakubwa saaaana, Mafuta ya 450,000 Hadi 550,000 "yanaweza" kuwatosha. Hakikisha unajaza full tank, usijaze Robo robo pia usijaze kwenye vituo vya kihuni.

Last month nilitoka Dar, nikaenda Kwa Msisi (Mkata-Tanga) then nikaendelea na safari ya Dodoma nikaenda Matumbulu, nikaenda Manyoni Hadi Itigi.

Niliondoka saa tisa usiku Dar, nikajaza Mafuta ya 220,000 pale Mlimani city, nikaenda safari zangu, nikaja kujaza Mafuta ya 40,000 Ihumwa wakati naingia Dodoma, Kesho nikaenda Matumbulu (25km) Kutoka Dodoma mjini Ile Iringa road then mchana nikaendelea na safari nikajaza pale Total kule four ways ya 50,000 nilipofika Manyoni nikajaza ya 50,000. Nikafika Itigi nikiwa na robo tank juu kidoogo Karibu na half.

Kwa wewe unayeenda Moja kwa Moja nadhani hata 250,000 Inawezekana ikakufikisha depending na aina Yako ya uendeshaji

Nilihakikisha sizidi 4rpm kwahio karibia 90% ya safari nilikua Chini ya hapo, sikua na ligi na mtu barabarani.
Gari ilikua ni BMW salon.

Mkuu hiyo BMW yako ni gani?

Au ina engine gani na Cc ngapi?

Isije kuwa 1G na N46B20... Hizo engine Zina Cc sawa ila consumption ni Ardhi na mbingu.

1G na Cc zake 1990 ila consumption kubwa kuliko N52B30 yenye Cc2996....
 
Mkuu hiyo BMW yako ni gani?

Au ina engine gani na Cc ngapi?

Isije kuwa 1G na N46B20... Hizo engine Zina Cc sawa ila consumption ni Ardhi na mbingu.

1G na Cc zake 1990 ila consumption kubwa kuliko N52B30 yenye Cc2996....
Cc 1900. Hio hapo Mpwa
 

Attachments

  • Screenshot_2022-09-05-13-02-08-622_com.whatsapp.jpg
    Screenshot_2022-09-05-13-02-08-622_com.whatsapp.jpg
    86.9 KB · Views: 17
Aliyekwambia utapata RPM 2.5 au 3.5 kwenye 140 speed ni nani?

Ukiiendesha gari RPM ya 2.5 au 3.5 hauwezi kuzidi speed 120.

Naona umehamisha goli baada ya kukuwekea ulichokitaka.

Hivyo tukija kwenye matumizi ya RPM utaleta ubishi huenda bado haujaendesha sana gari safari ndefu marakwa mara.
Kwa toyota yes tena siyo zote...

Ila kuna gari nyingi tu unafika 140 at 3000 rpm
 
Aliyekwambia utapata RPM 2.5 au 3.5 kwenye 140 speed ni nani?

Ukiiendesha gari RPM ya 2.5 au 3.5 hauwezi kuzidi speed 120.

Naona umehamisha goli baada ya kukuwekea ulichokitaka.

Hivyo tukija kwenye matumizi ya RPM utaleta ubishi huenda bado haujaendesha sana gari safari ndefu marakwa mara.
Em soma hio post yangu ukiwa umetuliza kichwa

Ku cross multiplication huitaji kuendesha gari hata

Chukua data final gear za gari husika na final reduction hii ni ratio ya diff ..size ya tairi kwanzia rim na tairi lenyewe kujua one complete turn linaenda umbali gani ni simple sana tatizo hutaki jifunza ujifunza..utagundua 3.5k kwenye LX ni speed kubwa sana iko above kph ulizo cremu na 3.5k kwenye kirikuu ni speed ya kawaida sana na 3.5K kwenye brevis uko above 130 kidogo
 
Hizo premio zipo Boss
Huenda ikawepo labda kwa matoleo ya miaka ya 80-2000 maana only 2.0L engine iliokuwa sokoni zaidi ni 3S-FE.

Kwa gari za kuanzia 2001 to date wakitaka kuuza za 2.O zinakuja na engine yenye ugomvi na mafundi Tanzania nzima 😂😂😂 2.0L 1AZ-FE au wanapenda kuiita D-4! Hio hata gari iwe imesajiliwa EAF ukitaka kuuza leo offer zitanzia million 8
 
Rpm kwa gia husika speed ni fixed haitabadilika kamwe

Hi maswala ya tembea na rpm flani.. unataka sema kwamba hata akiwa 140kph rpm anaweza amua iwe 2.5😁🤔

Gear ni fixed ratio hazibadiliki kama 4th gear rpm ikawa 3k na speed ikawa 120kph Basi huwezi fika 130 afu rpm imebaki pale pale utacross multiplication kujua RPM itakuwa ngap Kama utasogea Hadi 130 na kuendelea
Pia maswala ya RPM kila engine kwenye body husika zitakuwa tofauti kulingana na nguvu ya engine

Mfano pindi premio ikiwa na 4th gear 3k rpm speed ni 120 Basi engine kubwa zaidi inaeza kaa vizuri 120kph bila rpm kufika 3k au engine ndogo inaeza fika hio speed mfano Suzuki kei 0.7l ila haiwezi kaa RPM tatu Kama ilivokaa premio na magari mengine

3K rpm last gear kwa range Rover ya 2013 diesel 4.4L v8 speed hapo itakuwa 220kph

Premio, mark x, crown, brevis 3k rpm last gear speed huwa 120-135kph
Kirikuu 3k rpm speed ikizid sana ni 90

Toyo 3k speed 35 gia ya mwsho

Kwa hio ushauri atembee speed 80-90 mwendo mzuri wa wese rpm itakapokuwa hapo hapo ndo uwezo wa gari
Brother nauwezo wa kyuingiza gia zote rpm isivuke 3 na nikaenda hata speed 180 rpm isivuke 3...

Automatica vehicle unaweza kuengage gia zote kama manual tu na ukaweza kucontrol rpm isivuke 3
 
Aliyekwambia utapata RPM 2.5 au 3.5 kwenye 140 speed ni nani?

Ukiiendesha gari RPM ya 2.5 au 3.5 hauwezi kuzidi speed 120.

Naona umehamisha goli baada ya kukuwekea ulichokitaka.

Hivyo tukija kwenye matumizi ya RPM utaleta ubishi huenda bado haujaendesha sana gari safari ndefu marakwa mara.
Hahahahaha amehamisha magoli! Anyway hata hio 140km/hr kwa 3rpm unaipata tu kutegemea na gari, Mimi hio nimeenda Hadi 150km/hr kwa 3.5rpm kwakua gari yenyewe Ina 260km/hr ila Kwa gari yenye 180km/hr ni ngumu
 
Brother nauwezo wa kyuingiza gia zote rpm isivuke 3 na nikaenda hata speed 180 rpm isivuke 3...

Automatica vehicle unaweza kuengage gia zote kama manual tu na ukaweza kucontrol rpm isivuke 3
Ni kweli kabisa aiseeee
 
Back
Top Bottom