Asante sana mkuu kwa insights nzuri sana pamoja na ushauri wa kutosha.πHakikisha tu unafanya service, itapunguza sana fuel consumption, two, hakikisha uendeshaji wako ni mzuri, ukiweza kuchezea kwenye RPM ya 2-3.5 utasevu pakubwa saaaana...
Umemshauri kitaalamu, na upo sahihi kabisa.Kwa hesabu za kilomita za dar to itigi ni 605 hivi na kwa kadirio la ulaji wa gari yako kama 1ltr inafika km9 basi hapo una weza kutumia ltr kama 67x2= 134 go & return na mizunguko ya huko ukiweka ltr10 =144 kwa hiyo hapo ukiweka 150 unakuwa na amani kabisa na kama alivyokushauri Elli hapo juu usikimbie saana cheza na RPM 2.5 /3.5utakuja kutushukuru hapa ikiwa gari yako iko sawa sawa plug na airclener iko kwenye hali nzuri.
Tuma bukuAsante sana mkuu kwa insights nzuri sana pamoja na ushauri wa kutosha.π
Kwa hesabu za kilomita za dar to itigi ni 605 hivi na kwa kadirio la ulaji wa gari yako kama 1ltr inafika km9 basi hapo una weza kutumia ltr kama 67x2= 134 go & return na mizunguko ya huko ukiweka ltr10 =144 kwa hiyo hapo ukiweka 150 unakuwa na amani kabisa na kama alivyokushauri Elli hapo juu usikimbie saana cheza na RPM 2.5 /3.5utakuja kutushukuru hapa ikiwa gari yako iko sawa sawa plug na airclener iko kwenye hali nzuri.
Hilo kadirio la juu sana nililoweka hapo nilitembea na Premior old model yenye engine ya 3S dar to kahama ltr67.
Acha ubishi wewe usijibu kitu kama haukijui.Hamnaga 3s kwenye premio
Mkuu, nilidhani ukiwa highway kwenye mwendo mkali ndio inaokoa mafuta. Nifungue macho hapo mkuuKwa hesabu za kilomita za dar to itigi ni 605 hivi na kwa kadirio la ulaji wa gari yako kama 1ltr inafika km9 basi hapo una weza kutumia ltr kama 67x2= 134 go & return na mizunguko ya huko ukiweka ltr10 =144 kwa hiyo hapo ukiweka 150 unakuwa na amani kabisa na kama alivyokushauri Elli hapo juu usikimbie saana cheza na RPM 2.5 /3.5utakuja kutushukuru hapa ikiwa gari yako iko sawa sawa plug na airclener iko kwenye hali nzuri.
Hilo kadirio la juu sana nililoweka hapo nilitembea na Premior old model yenye engine ya 3S dar to kahama ltr67.
Nimesema hakuna premio ina 3S, ilete picha huku acha taarabuAcha ubishi wewe usijibu kitu kama haukijui.
Hii gari ni manual na ni 4wheel full time na mifumo yake yote ya suspension ni kama rav4.
Gari hizi zipo nyingi sana uganda na congo wanaziita land cruise.
Gari kadri unavyokanyaga sana mafuta na unywaji unaongezekaMkuu, nilidhani ukiwa highway kwenye mwendo mkali ndio inaokoa mafuta. Nifungue macho hapo mkuu
Nimesema hakuna premio ina 3S .ilete picha huku acha taarabu
Noted with thanksGari kadri unavyokanyaga sana mafuta na unywaji unaongezeka
Aiseee nipitie Dodoma nikusindikize tukale mabusu ya wanyaturu siunajua kwenye harusi warembo wanajitokezaga sana ..Nipitie Dodoma nikusindikeAsante sana mkuu kwa insights nzuri sana pamoja na ushauri wa kutosha.π