Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Bora uber wameondoka tz.Nasikia kuanzia kesho mafuta yatakua bei hiyo!!wenye vi i.s.t watatamba mjini aisee!elfu ltr 3 [emoji3]
View attachment 2210447
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora uber wameondoka tz.Nasikia kuanzia kesho mafuta yatakua bei hiyo!!wenye vi i.s.t watatamba mjini aisee!elfu ltr 3 [emoji3]
View attachment 2210447
Weka full tankNasikia kuanzia kesho mafuta yatakua bei hiyo!!wenye vi i.s.t watatamba mjini aisee!elfu 3 kwa ltr [emoji3]
View attachment 2210447
Ujipange hasa,elfu 30 lita 10 hapoWeka full tank
Hizi zinakuja kua Gx 100 zilizochangamka miaka michache ijayo.Fuga imekaa kistaarabu sana halafu haya ma crown yashakuwa mengi mjini
Motivational speakers bana.Huwezi kuwa na akili timamu alaf ukaendesha Crown , Alteza au Subaru. Gari hizi ni za wahuni unaweza ukajishushia heshima bure kwenye jamii
Elfu 30 lita 10 imagine mbezi - k'koo kila siku!zishaanza kushuka bei aisee!Hizi zinakuja kua Gx 100 zilizochangamka miaka michache ijayo.
Naisubiria hii kitu ishuke bei sbb ya wese niichukue na mimi nipate kuenjoy 😀 Extrovert 🤣🤣Update ulichukua kitu gani kati ya Fuga na Crown
Ila Crown ile ni Benz ya Mjapan gari tamu sana kuanzia nje, ndani mpaka barabarani haina tofauti na Mercedes Benz S-Class anayoendesha ndugu yetu Alex Massawe pale Capetown
Hahah huu ndio muda wa kununua 'majini mafuta' boss, maana yatashuka kishenzi.Uzuri Mimi hayo ndio nayapendaga.Hali ikiendelea hivi hivi nitakuja kumvua mtu kitu chenye 2uz-fe kwa Bei ya kizalendo tu.Elfu 30 lita 10 imagine mbezi - k'koo kila siku!zishaanza kushuka bei aisee!
View attachment 2211215
Na mimi naisubiria kwa hamu 🤣Hahah huu ndio muda wa kununua 'majini mafuta' boss, maana yatashuka kishenzi.Uzuri Mimi hayo ndio nayapendaga.Hali ikiendelea hivi hivi nitakuja kumvua mtu kitu chenye 2uz-fe kwa Bei ya kizalendo tu.
Gari za Mwanza huwa bei rafiki sana sio kama DSM hapa gari ikiwa DRX imenyooka namna hio huuziwi chini ya 12M hio!Elfu 30 lita 10 imagine mbezi - k'koo kila siku!zishaanza kushuka bei aisee!
View attachment 2211215
maamaFuga 450 GT ni V8, horse power ya kutosha. Anakula sahani moja na Majesta, huyo ndiyo Fuga. Fuga 350GT ambayo ni 6 Cylinder, ndiye apambane na huyo Crown 6 Cylinder!
Kwenye gari za wahuni naomba iondoe hio crown hapo!Huwezi kuwa na akili timamu alaf ukaendesha Crown , Alteza au Subaru. Gari hizi ni za wahuni unaweza ukajishushia heshima bure kwenye jamii
Hii uwa inasababishwa na nini?Gari za Mwanza huwa bei rafiki sana sio kama DSM hapa gari ikiwa DRX imenyooka namna hio huuziwi chini ya 12M hio!
Sababu ya wese nini 😀Mkuu kuinjoy itakuwa ngumu sana aisee!
Sababu ya wese nini
Hii uwa inasababishwa na nini?
Hatari,elfu 30 ltr 9.70!EEeh