Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahhaChukua fuga wewe achana na crown hizo gari za wahuni na walevi.
Speed yenyewe 180kph mwisho hilo sikubwa jinga tuwote wababe hao,ila kwa mimi ntakushauri chukua toyota Crown.tena kama vipi jitwishe toyota crown Majesta alafu uone kama kuna bwege atakuzingua barabarani.
Kuna Nissan fuga GT 450wote wababe hao,ila kwa mimi ntakushauri chukua toyota Crown.tena kama vipi jitwishe toyota crown Majesta alafu uone kama kuna bwege atakuzingua barabarani.
Crown majesta ni v8 si sawa kuishindanisha na piston 4 au 6Speed yenyewe 180kph mwisho hilo sikubwa jinga tu
Na crown yake yeye ndo atakuwa bwege maana ntampita na BMW yangu Kama imeibiwa.wote wababe hao,ila kwa mimi ntakushauri chukua toyota Crown.tena kama vipi jitwishe toyota crown Majesta alafu uone kama kuna bwege atakuzingua barabarani.
Haha, majesta ni habari nyingine mzee. Ila ile imekaa ki-don sana.wote wababe hao,ila kwa mimi ntakushauri chukua toyota Crown.tena kama vipi jitwishe toyota crown Majesta alafu uone kama kuna bwege atakuzingua barabarani.
Tatizo ni limit ya speed unapitwa na tukagari tudogo tudogo vya ulaya mambo ya kiboya kabisaCrown majesta ni v8 si sawa kuishindanisha na piston 4 au 6
Hata mimi ningechukua hiyo……….Taja miaka.
Ila me ningechukua Crown.
Kwa hiyo lengo lako usipitwe?Tatizo ni limit ya speed unapitwa na tukagari tudogo tudogo vya ulaya mambo ya kiboya kabisa
Kama lengo ni kutokupitwa barabarani chukua huyo mnyamaTatizo ni limit ya speed unapitwa na tukagari tudogo tudogo vya ulaya mambo ya kiboya kabisa
wote wababe hao,ila kwa mimi ntakushauri chukua toyota Crown.tena kama vipi jitwishe toyota crown Majesta alafu uone kama kuna bwege atakuzingua barabarani.
we si mzee wa totoz lazima uende kwa crownTaja miaka.
Ila me ningechukua Crown.
Kama lengo ni kutokupitwa barabarani chukua huyo mnyamaView attachment 2201347
Akil zao kama madereva wa mabasi na ndiyo vyanzo vikuu vya ajali kulingana na ubovu wa barabara zetuYani kuna watu bado wananunua magari ili washindane na watu wasiowajua barabarani??