Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Sure. Nissan (ukiacha Nissan Patrol/Safari) nyingine zote Ni majangaChukua crown mkuu...kama unataka kuoa mke ndugu chukua hilo fuga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure. Nissan (ukiacha Nissan Patrol/Safari) nyingine zote Ni majangaChukua crown mkuu...kama unataka kuoa mke ndugu chukua hilo fuga.
Unatumia gari gani Mkuu? Nijuavyo mimi, kila mtu anatumia kile ambacho kipo ndani ya uwezo wake.Mibongo ilirogwa na toyota
Utasikia inauzika haraka sijui spea zinapatikana kiurahis
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah kuna jamaa ana Nissan Dualis inamtesa balaa, kila siku ugonjwa mpya.Sure. Nissan (ukiacha Nissan Patrol/Safari) nyingine zote Ni majanga
Mtu anaenunua vigari vya hovyo ndo huwa wanakimbilia kuuza baada ya muda mfupi.Ndugu yangu hawa wamiliki wa magari ya toyota usitegemee wakupe sababu zaidi ya hizi..
1..Watakuambia toyota ndiyo inauzika....sasa sina uhakika kama kila mtu ananunua gari ili auze.
2. .watakuambia toyota zina spea za bei rahisi, hapa huwa nashindwa kuelewa...kwa sababu kuna mtu akiambiwa spea inauzwa milioni 3 kwake si tatizo bora iweinapatikana.
Mtazamo wangu..
Magari mengi yanayoanzia model za mwaka 2005 kupanda juu, haijalishi kampuni mfano Toyota, Nissan, Subaru n.k....spea zake si bei rahisi na ni magari yenye teknolojia kubwa kwenye mifumo ya umeme.
Both Toyota crown na Nissan fuga are great sedans....Powerful, comfortable, luxury e.t.c.
Wadau mngemchambulia mtoa mada technical specifications za Nissan fuga na Toyota crown.
Mwisho wa siku achague mwenyewe kitu roho yake inapenda. Kuhusu kuuzika na spea za bei rahisi, ningeshauri tusimpandikizie mwenzetu mawazo ya kimasikini kwa sababu hatujajua kama ananunua ili auze.
Mwisho ikumbukwe hayo magari mawili hayana best resale value huku mtaani kwa sababu ya ukubwa wa engines zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima unanunua boring cars ndo maana unaichoka mapema.Wanaoponda watu wanaonunua gari kwa kigezo cha kuuzika kwa urahisi hawajawahi kukutana na stress za kukosa mteja gari afu ww ndio umeshaichoka! Lazima ngoma ichezwe kulingana na mdundo!
We jamaa bana nimecheka kichizi 😅😅😅
Ni kweli mpango mzima mpaka pale air suspension zikijamba😅😅😅Fuga mpango mzima
Wewe unatembelea fuga au unaongea kama nani katika hilo?Mibongo ilirogwa na toyota
Utasikia inauzika haraka sijui spea zinapatikana kiurahis
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama crown itafikia kuuzwa bei ya kutupa basi jua Fuga itauzwa million 4 taslimu😅😅😅Kuuza crown kwa wakati huu sio kitu rahisi mkuu,labda uuze kwa bei ya kutupa sana
I was wrong bro,ila kipindi natoa hiyo comment crown zilikua zinaanza kuzifuata kina mark x na brevis kwenye resale,ghafla ikastick kwenye 11 mln kwenda juu ndio mpaka leo 😀Kama crown itafikia kuuzwa bei ya kutupa basi jua Fuga itauzwa million 4 taslimu😅😅😅
Crown inayouzwa below hapo kama sio kwa mtu unayemfahamu gari ni mbovu trust me!I was wrong bro,ila kipindi natoa hiyo comment crown zilikua zinaanza kuzifuata kina mark x na brevis 😀,ghafla ikastick kwenye 11 mln kwenda juu ndio mpaka leo 😀
Yah,but angalia ile comment yangu ilikua ya march last year,sometimes wabongo atueleweki,sasa naona hata altezza nayo inapanda panda bei eti while ilishajichokea 😂Crown inayouzwa below hapo kama sio kwa mtu unayemfahamu gari ni mbovu trust me!
Altezza zishaisha sokoni! Hazina ishu labda mtu akomalie tuYah,but angalia ile comment yangu ilikua ya march last year,sometimes wabongo atueleweki,sasa naona hata altezza nayo inapanda panda bei eti while ilishajichokea 😂
Zilishafika 4.5 hadi 5,ila now zilizosimama zinaanzia 7 kwenda juu,mabro yoo yoo wanazimpimp toka ile wasafi walipowekea shindano,zimepanda bei mkuu 😂Altezza zishaisha sokoni! Hazina ishu labda mtu akomalie tu
eeu ukitaka gari iliosimama hata iwe Mark 2 lazma bei utakuta imesimamia 8MZilishafika 4.5 hadi 5,ila now zilizosimama zinaanzia 7 kwenda juu,mabro yoo yoo wanazimpimp toka ile wasafi walipowekea shindano,zimepanda bei mkuu 😂
Nimeiona hii inauzwa mln 11 tu,si mtaalamu sana wa bmw kwa uzoefu wako unaonaje bei ya hiyo gari,haina changamoto kweli hii!Lazima unanunua boring cars ndo maana unaichoka mapema.
Lazima fundi akaicheki.Nimeiona hii inauzwa mln 11 tu,si mtaalamu sana wa bmw kwa uzoefu wako unaonaje bei ya hiyo gari,haina changamoto kweli hii!
View attachment 1870910
Shukran kiongoziLazima fundi akaicheki.
Au ungeagiza yako toka Japan ya mwaka huo yenye hizo specs.
Gari zilizotumiwa bongo au kwenye yard siziamini kabisa kununua. Manake hata fundi atashindwa jua minor faults..
Msimu huu umekaa vibaya sana. Kuuza gari utafikiri unauza ngada. Nimetangaza kigari changu cha ist huu mwezi sasa. Watu hawashtuki. Zamani ilikuwa ni siku mbili tu chaapKuuza crown kwa wakati huu sio kitu rahisi mkuu,labda uuze kwa bei ya kutupa sana