Nichague ipi kati ya Nissan Fuga New model au Toyota Crown new model

Nichague ipi kati ya Nissan Fuga New model au Toyota Crown new model

Ndugu yangu hawa wamiliki wa magari ya toyota usitegemee wakupe sababu zaidi ya hizi..

1..Watakuambia toyota ndiyo inauzika....sasa sina uhakika kama kila mtu ananunua gari ili auze.

2. .watakuambia toyota zina spea za bei rahisi, hapa huwa nashindwa kuelewa...kwa sababu kuna mtu akiambiwa spea inauzwa milioni 3 kwake si tatizo bora iweinapatikana.

Mtazamo wangu..
Magari mengi yanayoanzia model za mwaka 2005 kupanda juu, haijalishi kampuni mfano Toyota, Nissan, Subaru n.k....spea zake si bei rahisi na ni magari yenye teknolojia kubwa kwenye mifumo ya umeme.

Both Toyota crown na Nissan fuga are great sedans....Powerful, comfortable, luxury e.t.c.

Wadau mngemchambulia mtoa mada technical specifications za Nissan fuga na Toyota crown.

Mwisho wa siku achague mwenyewe kitu roho yake inapenda. Kuhusu kuuzika na spea za bei rahisi, ningeshauri tusimpandikizie mwenzetu mawazo ya kimasikini kwa sababu hatujajua kama ananunua ili auze.

Mwisho ikumbukwe hayo magari mawili hayana best resale value huku mtaani kwa sababu ya ukubwa wa engines zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu anaenunua vigari vya hovyo ndo huwa wanakimbilia kuuza baada ya muda mfupi.

Mtu anaenunua mashine ya kweli hawezi kuwa na mawazo ya kuiuza.
 
Lazima unanunua boring cars ndo maana unaichoka mapema.
Nimeiona hii inauzwa mln 11 tu,si mtaalamu sana wa bmw kwa uzoefu wako unaonaje bei ya hiyo gari,haina changamoto kweli hii!

Screenshot_20210727-170834_Instagram.jpg
 
Nimeiona hii inauzwa mln 11 tu,si mtaalamu sana wa bmw kwa uzoefu wako unaonaje bei ya hiyo gari,haina changamoto kweli hii!

View attachment 1870910
Lazima fundi akaicheki.

Au ungeagiza yako toka Japan ya mwaka huo yenye hizo specs.

Gari zilizotumiwa bongo au kwenye yard siziamini kabisa kununua. Manake hata fundi atashindwa jua minor faults..
 
Lazima fundi akaicheki.

Au ungeagiza yako toka Japan ya mwaka huo yenye hizo specs.

Gari zilizotumiwa bongo au kwenye yard siziamini kabisa kununua. Manake hata fundi atashindwa jua minor faults..
Shukran kiongozi
 
Back
Top Bottom