Sijabahatika kuajiriwa mkuu, ajira hazipatikani nd'o tunahangaika sisi wenyewe.Nikajua umeajiriwa!kila la heri usiache kuja nalo mkoani tuoshee!
Nitafuatilia mkuu,Toyota mark II Grande GX110 model ya kuanzia 2002 au juu ya hapo kwa 8M tu unaipata ikiwa imenyooka na chenji inabaki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shikamoni waheshimiwa,
Mimi sijawahi kumiliki gari tangu nizaliwe.
Kazi yangu ni kuuza duka la Mangi,
Kipato changu ni wastani wa Laki 5 kwa mwezi (hakiko imara kabisa; kinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutegemea na hali ya biashara).
Nimedunduliza hela kwa miaka miwili nimepata milioni kumi.
Lengo langu nipate gari la kutembelea mjini na mimi.
Sasa ninachoomba waheshimiwa,
Nichagulieni gari kwa kuzingatia kipato changu hapo juu.
Kuna watu wataniuliza maswali ya kitaalamu hapa,
Mara Injini silinda sita, mara cc za mafuta,
Mimi sina ujuzi huo.
Mimi ninachotaka mnichagulie gari dogo lolote,
Mimi nitaendesha tu ili mradi litoke Japan na mpaka kulipia gharama zote na kuanza kuliendesha kwa uhuru isizidi kiasi tajwa hapo juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu,Kweli akili huna...Biashara amesema anayo na amedunduliza iyo hela..bira ungemshauri aongeze mtaji au afanye diversification.
Ni kweli mkuu, tatizo baadhi watanzania wenzetu hawana uungwana. Ukiona wanakuuzia gari ujue lina tatizo kubwa ambalo linaweza kukutesa sana.Vizia waliofulia mkuu, huo mpunga hata harrier used unapata.
Hao sidhani kama watafanikiwa mheshimiwa,Ngoja madalali wakufuate PM, watakung'ang'ania hadi utajuta kutoa tangazo, hafu wengi gari ni vimeo kuwa makini
Sent using Jamii Forums mobile app
Usinunue kwa desperation, kabla hamjafikia muafaka tafuta fundi unayemuamini alikague.Ni kweli mkuu, tatizo baadhi watanzania wenzetu hawana uungwana. Ukiona wanakuuzia gari ujue lina tatizo kubwa ambalo linaweza kukutesa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Apa umejiongeza.Hela yako ni ya IST, au Vitz new model.
Ushauri
Hata kama akili sina ila hapa nimekushinda bro.
Hiyo hela kwann usianzishe biashara yako???
Akili sina miee!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpige nchale risasi atakufa huyu.😂😂Dogo ntakupiga risasi
Ili kuepusha dhahama, nitaagiza Japan tu mkuu.Usinunue kwa desperation, kabla hamjafikia muafaka tafuta fundi unayemuamini alikague.
Unamjua mangi wewe?
Unamjua mangi wewe?
Sijabahatika kuajiriwa mkuu, ajira hazipatikani nd'o tunahangaika sisi wenyewe.
Ni mkoa gani huo mkuu ili nisisahau kukutafuta?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!similiki gari lakini mtu anayemiliki noah dah namuona km Mkinga tu!Noah
Shikamoni waheshimiwa,
Mimi sijawahi kumiliki gari tangu nizaliwe.
Kazi yangu ni kuuza duka la Mangi,
Kipato changu ni wastani wa Laki 5 kwa mwezi (hakiko imara kabisa; kinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutegemea na hali ya biashara).
Nimedunduliza hela kwa miaka miwili nimepata milioni kumi.
Lengo langu nipate gari la kutembelea mjini na mimi.
Sasa ninachoomba waheshimiwa,
Nichagulieni gari kwa kuzingatia kipato changu hapo juu.
Kuna watu wataniuliza maswali ya kitaalamu hapa,
Mara Injini silinda sita, mara cc za mafuta,
Mimi sina ujuzi huo.
Mimi ninachotaka mnichagulie gari dogo lolote,
Mimi nitaendesha tu ili mradi litoke Japan na mpaka kulipia gharama zote na kuanza kuliendesha kwa uhuru isizidi kiasi tajwa hapo juu.
Sent using Jamii Forums mobile app