Hela ninayotaka kununulia usafiri nimedunduliza kutoka kwenye biashara yangu kwa miaka miwili mkuu.Fungua duka lako...Gari litakuja ukisha jiweka vyema zaidi..
Kama kayapatia ni ya kwake , siyo alete dharau kwa sie ambao hatuna..........eti "we una ghorofa ngapi"" chizi kweli huyuKayapatia Mkuu, wengine hatuna hayo magari... Acha watu wafurahie maisha
Mkuu Kilitime ya 7M hiyo haifai itakuwa imechoka sana, gari kuagiza si chini ya 17 ileNunua RAV 4 Kili Time, utapiga nae misele sana kwa hela hiyo na chenji inabaki, 7M unapata nzuri hapa hapa Dar.. Alafu unaweza safiri nayo mikoani na kupanga safari mbali anytime
Kwenye show room nyingi zinakuwa zimechezewa kilomita... AgizaMkuu,
Ushauri wako ni mzuri na nakushukuru sana.
Umesema kwa bajeti yangu itatosha kununulia hapahapa-
Je ni ya kwenye showroom ambayo haijatumika hapa Tanzania au ni iliyotumika hapa kwetu kisha mwenyewe akaamua kuiuza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani maisha ni mpaka ghorofa mzee????
Hata kwa hivi vya kawaida tu tunapeana ushauri..
Hata hao wenye maghorofa walianza na nyumba za makuti.......Usijione una ka gari kako , jumapili umavaa kapensi unazungusha kafunguo basi ukaijiona maisha ndo ushayapatiaaa......mwehu wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata humu hao jamaa wana account.Watafutwe kimomwe motors watakuchagulia na kukuagizia gari safi.wapo Facebook, tweeter, ofisi ziko magomeni mapipa, pembeni ya stand ya mwendokasi upande wa kulia ukiwa unaelekea kariakoo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shikamoni waheshimiwa,
Mimi sijawahi kumiliki gari tangu nizaliwe.
Kazi yangu ni kuuza duka la Mangi,
Kipato changu ni wastani wa Laki 5 kwa mwezi (hakiko imara kabisa; kinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutegemea na hali ya biashara).
Nimedunduliza hela kwa miaka miwili nimepata milioni kumi.
Lengo langu nipate gari la kutembelea mjini na mimi.
Sasa ninachoomba waheshimiwa,
Nichagulieni gari kwa kuzingatia kipato changu hapo juu.
Kuna watu wataniuliza maswali ya kitaalamu hapa,
Mara Injini silinda sita, mara cc za mafuta,
Mimi sina ujuzi huo.
Mimi ninachotaka mnichagulie gari dogo lolote,
Mimi nitaendesha tu ili mradi litoke Japan na mpaka kulipia gharama zote na kuanza kuliendesha kwa uhuru isizidi kiasi tajwa hapo juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia beforward tafuta gari. Nenda ofisi zao.Kuhusu kutonunua hapa kwetu hilo suala hata mimi nakubaliana nawe asilimia zote.
Kuhusu kutotumia wakala hapo sasa itabidi nitafute wajuzi waaminifu ili wanipe elimu juu ya uagizaji wa gari bila kutumia wakala,
Maanak'e mimi bado sina ujuzi wa kufanya hayo manunuzi mtandaoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati flani wakati najiandaa kununua gari niliandaa bajeti kama mleta mada hapa, kilichotokea bei ya kubadilisha dola ilipaa ghafla kitu kilichonifanya nijikute nimetumia pesa zaidi ya ile niliyokuwa nimebajetia so wkt mwingine kunatokea mabadiliko!Mkuu nikushauri
Gari halinunuliwi kwa bajeti uliyonayo bali gari linanunuliwa kwa matumizi
Kabla huja fikiria hiyo bajeti jiulize matumizi ya hiyo gari unayotaka ni yapi je ni movement za mjini tu au ndio trip za shambani na mkoani
Kwa bajeti hiyo fresh from Japan utapata
Ist nzuri sana nadhani itakufaa
Relax dada , vuta pumzi kidogo kisha kunywa maji.We ndo mwehu, masikini na fukara. Mtu mpaka aje na idea ya kununua gari unafikiri biashara hakuziona? Unajuaje kama anazo na ndizo zimempa hiyo pesa?
Unakalia kushauri ukute hapo unalia dagaa mpuuzi wewe na kweli huna akili!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenifanya nipasuke kicheko cha ajabu7 tu kila kitu unabaki na million 2 na chenchi za kwenda kumhonga manengelo anakupa vyote
Mkuu Kilitime ya 7M hiyo haifai itakuwa imechoka sana, gari kuagiza si chini ya 17 ile
Weka na kodi, naona umeishia hadi ifike dar tu... Pia kwa mkononi sikatai kuwa unaweza pata ya 7M, ishu ni kuwa ipo katika hali gani? Gari unaweza kuta ina miles za kutosha, imerudiwa rangi, imekula mizinga kibao afu unauziwa kwa 7 unajisifuToyota RAV4 2000
From Dec1st [tradecarview] becomes 【TCV】. Used TOYOTA RAV4 2000 for sale on TCV. Stock. Japanese used cars online market. Import RAV4 TA-ACA21W for US$2,012 from directly from Japanese exporter - Royal Trading Co.,LTD. Japanese used cars - TCV. 25415180www.tc-v.com
Gari hiyo hapo👆 anaweza shuka hadi $ 1,600 FOB.. na hadi ifike Dar CIF $ 2,600 hiyo 10 mil utaongeza just 1M unatoa gari total hadi mkononi 11 Mil
Pia fuata hii link hapa Jamiiforums ina Rav 4 Kili Time 2 nzuri sana tu, moja nyeupe na nyingine silver Kwa 7 mil tu..
Car4Sale - Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua
Mark11 Grande gx110 Engine beams 2000 vvti Bei: Milioni 5.7 Mawasiliano:0658124554 Kuna gari unahitaji au unayo gari unauza wasiliana nasi tulipatie ufumbuzi hitaji lakowww.jamiiforums.com
Relax dada , vuta pumzi kidogo kisha kunywa maji.
Gari atake kununua mwingine kiherehere kikupate wewe....Au unategemea lift za wanaume wa mjini....Utabakwa wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi usha halibiwa [emoji125]Kwani maisha ni mpaka ghorofa mzee????
Hata kwa hivi vya kawaida tu tunapeana ushauri..
Hata hao wenye maghorofa walianza na nyumba za makuti.......Usijione una ka gari kako , jumapili umavaa kapensi unazungusha kafunguo basi ukaijiona maisha ndo ushayapatiaaa......mwehu wewe
Sent using Jamii Forums mobile app