Nichagulieni gari kwa bajeti ya Milioni 10

Nichagulieni gari kwa bajeti ya Milioni 10

Nunua RAV 4 Kili Time, utapiga nae misele sana kwa hela hiyo na chenji inabaki, 7M unapata nzuri hapa hapa Dar.. Alafu unaweza safiri nayo mikoani na kupanga safari mbali anytime
Mkuu Kilitime ya 7M hiyo haifai itakuwa imechoka sana, gari kuagiza si chini ya 17 ile
 
We ndo mwehu, masikini na fukara. Mtu mpaka aje na idea ya kununua gari unafikiri biashara hakuziona? Unajuaje kama anazo na ndizo zimempa hiyo pesa?

Unakalia kushauri ukute hapo unalia dagaa mpuuzi wewe na kweli huna akili!!
Kwani maisha ni mpaka ghorofa mzee????

Hata kwa hivi vya kawaida tu tunapeana ushauri..
Hata hao wenye maghorofa walianza na nyumba za makuti.......Usijione una ka gari kako , jumapili umavaa kapensi unazungusha kafunguo basi ukaijiona maisha ndo ushayapatiaaa......mwehu wewe

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina Nissan Extrail nzuri sana namba D iko vyema kabisa.
Shikamoni waheshimiwa,
Mimi sijawahi kumiliki gari tangu nizaliwe.

Kazi yangu ni kuuza duka la Mangi,
Kipato changu ni wastani wa Laki 5 kwa mwezi (hakiko imara kabisa; kinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutegemea na hali ya biashara).

Nimedunduliza hela kwa miaka miwili nimepata milioni kumi.
Lengo langu nipate gari la kutembelea mjini na mimi.

Sasa ninachoomba waheshimiwa,
Nichagulieni gari kwa kuzingatia kipato changu hapo juu.

Kuna watu wataniuliza maswali ya kitaalamu hapa,
Mara Injini silinda sita, mara cc za mafuta,
Mimi sina ujuzi huo.

Mimi ninachotaka mnichagulie gari dogo lolote,
Mimi nitaendesha tu ili mradi litoke Japan na mpaka kulipia gharama zote na kuanza kuliendesha kwa uhuru isizidi kiasi tajwa hapo juu.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu kutonunua hapa kwetu hilo suala hata mimi nakubaliana nawe asilimia zote.

Kuhusu kutotumia wakala hapo sasa itabidi nitafute wajuzi waaminifu ili wanipe elimu juu ya uagizaji wa gari bila kutumia wakala,
Maanak'e mimi bado sina ujuzi wa kufanya hayo manunuzi mtandaoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia beforward tafuta gari. Nenda ofisi zao.
Lipa hela bank
Lilifika lipa kodi watakutolea kwa less than 500K.
Ukiagiza kwa hawa mawakala utapigwa 2mil kwa visingizio vingi vya kijinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nikushauri
Gari halinunuliwi kwa bajeti uliyonayo bali gari linanunuliwa kwa matumizi
Kabla huja fikiria hiyo bajeti jiulize matumizi ya hiyo gari unayotaka ni yapi je ni movement za mjini tu au ndio trip za shambani na mkoani
Kwa bajeti hiyo fresh from Japan utapata
Ist nzuri sana nadhani itakufaa
Wakati flani wakati najiandaa kununua gari niliandaa bajeti kama mleta mada hapa, kilichotokea bei ya kubadilisha dola ilipaa ghafla kitu kilichonifanya nijikute nimetumia pesa zaidi ya ile niliyokuwa nimebajetia so wkt mwingine kunatokea mabadiliko!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ndo mwehu, masikini na fukara. Mtu mpaka aje na idea ya kununua gari unafikiri biashara hakuziona? Unajuaje kama anazo na ndizo zimempa hiyo pesa?

Unakalia kushauri ukute hapo unalia dagaa mpuuzi wewe na kweli huna akili!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Relax dada , vuta pumzi kidogo kisha kunywa maji.

Gari atake kununua mwingine kiherehere kikupate wewe....Au unategemea lift za wanaume wa mjini....Utabakwa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una assets gani mkuu tuanzie hapo! Kwa maana poor people wanaanza kununua Liabilities Ndiyo baadae wananunua assets, wakati rich people wanaanza kununua assets kwanza Ndiyo liabilities zinafuata
 
Mkuu Kilitime ya 7M hiyo haifai itakuwa imechoka sana, gari kuagiza si chini ya 17 ile


Gari hiyo hapo👆 anaweza shuka hadi $ 1,600 FOB.. na hadi ifike Dar CIF $ 2,600 hiyo 10 mil utaongeza just 1M unatoa gari total hadi mkononi 11 Mil

Pia fuata hii link hapa Jamiiforums ina Rav 4 Kili Time 2 nzuri sana tu, moja nyeupe na nyingine silver Kwa 7 mil tu..

 

Gari hiyo hapo👆 anaweza shuka hadi $ 1,600 FOB.. na hadi ifike Dar CIF $ 2,600 hiyo 10 mil utaongeza just 1M unatoa gari total hadi mkononi 11 Mil

Pia fuata hii link hapa Jamiiforums ina Rav 4 Kili Time 2 nzuri sana tu, moja nyeupe na nyingine silver Kwa 7 mil tu..

Weka na kodi, naona umeishia hadi ifike dar tu... Pia kwa mkononi sikatai kuwa unaweza pata ya 7M, ishu ni kuwa ipo katika hali gani? Gari unaweza kuta ina miles za kutosha, imerudiwa rangi, imekula mizinga kibao afu unauziwa kwa 7 unajisifu
 
Wewe ndio kima fala na fukara!! Mwenzio kataka ushauri wa kununua gari we unaingiza habari za biashara!! Maskini mna tabu sana hapo ukute wewe hela unamalizia kwenye sherehe na unyago!

Mpumbavu sana wewe na ukoo wako ndo maana ukajisema wazi huna akili!!

NB: mimi ni mwanaume rijali, sio dada ukitaka njoo nikumwagie nikununulie hata bodaboda shwaini wewe.
Relax dada , vuta pumzi kidogo kisha kunywa maji.

Gari atake kununua mwingine kiherehere kikupate wewe....Au unategemea lift za wanaume wa mjini....Utabakwa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani maisha ni mpaka ghorofa mzee????

Hata kwa hivi vya kawaida tu tunapeana ushauri..
Hata hao wenye maghorofa walianza na nyumba za makuti.......Usijione una ka gari kako , jumapili umavaa kapensi unazungusha kafunguo basi ukaijiona maisha ndo ushayapatiaaa......mwehu wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi usha halibiwa [emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom