Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
Hizi gari ni aina moja. ila zilitengenezwa kwa ajili ya masoko tofauti. ila Go for RunX
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo gari tofauti ni body tuuWadau,wazoefu na mafundi,kwa kipato changu cha kawaida nichukue ipi kati ya ALLEX au RUNX zote 1500cc,vigezo
1.ulaji mdogo wa mafuta
2.upatikanaji na unafuu wa spare
3.uimara wa gari rafu road
4.uimara wa vipuri.
MbwaweweGari ya mwaka 2004 ndio unaiulizia leo
HITIMISHO….NILICHUKUA RUN X..Wadau,wazoefu na mafundi,kwa kipato changu cha kawaida nichukue ipi kati ya ALLEX au RUNX zote 1500cc,vigezo
1.ulaji mdogo wa mafuta
2.upatikanaji na unafuu wa spare
3.uimara wa gari rafu road
4.uimara wa vipuri.
vp feedback umeionajeHITIMISHO….NILICHUKUA RUN X..
Vip unaionaje hiyo gari?HITIMISHO….NILICHUKUA RUN X..
Ni ya kawaida,ukiwa kwenye speed kuanzia 70,inaonekana kuwa stable barabarani.
Ukiwa kwenye speed chini ya 70 je? Vipi kuhusu ulaji wa mafuta per kmNi ya kawaida,ukiwa kwenye speed kuanzia 70,inaonekana kuwa stable barabarani.
chini ya 70 pia ina balance nzuri kwenye kona za ghafla,mafuta inategemea na condition ya gari au engine,mimi nimechukua kwa mtu,imetumika sana tu,km 60 natumia kama lita 5 kwa wastani.Ukiwa kwenye speed chini ya 70 je? Vipi kuhusu ulaji wa mafuta per km
Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
Anhaa sawa mkuu.. Good for youchini ya 70 pia ina balance nzuri kwenye kona za ghafla,mafuta inategemea na condition ya gari au engine,mimi nimechukua kwa mtu,imetumika sana tu,km 60 natumia kama lita 5 kwa wastani.
lete mrejesho kwenye ishu ya fuel consumptionHITIMISHO….NILICHUKUA RUN X..
cheki apo juu #33,kuna jamaa nimemjibu..lete mrejesho kwenye ishu ya fuel consumption
hizo gari huwa natamani nije niimiliki
Piga service hiyo gari, utapata better fuel consumption kuliko ya sasa...chini ya 70 pia ina balance nzuri kwenye kona za ghafla,mafuta inategemea na condition ya gari au engine,mimi nimechukua kwa mtu,imetumika sana tu,km 60 natumia kama lita 5 kwa wastani.
Kwa average consumption 1 litre ukiapproximately inaenda km ngap?Runx na Allex yote sawa tu, nilikua na Runx 1.5 1NZ FE kwa miaka 4 haijawahi nifanya mbaya.
Ulaji wa mafuta ni mzuri, spare zinapatikana, ina balance, cheap maintenance..
Kulingana na jibu la mtoa mada hapo juu, chukua 60 gawia 5.Kwa average consumption 1 litre ukiapproximately inaenda km ngap?