Nichukue ipi kati ya ALLEX au RUNX zote 1500cc

Nichukue ipi kati ya ALLEX au RUNX zote 1500cc

bei gani chief?
20231023_095713.jpg
20231023_095711.jpg
20231023_095708.jpg

Kuna hiyo boss 11.5 m
 
hoja nzuri sana,na ni ushauri mzuri,ila kwa nchi maskini za kiafrika,hata gari kama toyota sterlet zilizoachwa kutengenezwa,miaka ya 2000 kushuka chini,bado gari ni nyingi mtaani,na spea zimejaa tele,sembuse gari za 2004?kwa mtazamo wangu,asilimia zaidi ya 70,ya gari zilizopo tz,ni za miaka 2010 kushuka chini.
Sio mtazamo wako mkuu.
Huo ndio uhalisia.
 
Back
Top Bottom