Nichukue ipi kati ya ALLEX au RUNX zote 1500cc

Nichukue ipi kati ya ALLEX au RUNX zote 1500cc

Kwa mjini 12-14 ila Highway inaenda hadi 18 km/l
aiseee huo ni utumiaji mzuri sana wa mafuta ,nadhani pia haitapishana sana na premio yenye the same engine regarding of factors like car condition & maintainance,service history and fuel quality
 
Piga service hiyo gari, utapata better fuel consumption kuliko ya sasa...
sawa mkuu,lakini nielekeze niservice nini,mimi nimemwaga oli,nimeweka air cleaner filter mpya,engine oil filter mpya,coolant mpya,brake fluid mpya,nini kingine mkuu nishauri..
 
eti mkuu ni speed/rpm ipi kwa gari ndogo ulaji wa mafuta unakuwa mzuri sana.
Zinatofautiana speed na RPM.
MFANO:
Kwenye BMW nilikua nikiwa below 25000 (maximum 7000) nakua vizuri ulaji wa wese. Speed ilikua 90 hadi 110km/h

Kwenye Runx nilikua nikipiga below 3000 inakua poa (Maximum 8000). Speed ilikua 80-90km/h

Sahivi Mazda nikiwa below 2000 maana kuvuka 2000 (maximum 6000) lazima niwe Sport mode au nikanyage sana. Speed ni 70-80km/h
 
Zinatofautiana speed na RPM.
MFANO:
Kwenye BMW nilikua nikiwa below 25000 (maximum 7000) nakua vizuri ulaji wa wese. Speed ilikua 90 hadi 110km/h

Kwenye Runx nilikua nikipiga below 3000 inakua poa (Maximum 8000). Speed ilikua 80-90km/h

Sahivi Mazda nikiwa below 2000 maana kuvuka 2000 (maximum 6000) lazima niwe Sport mode au nikanyage sana. Speed ni 70-80km/h
mimi uendeshaji wangu,sivukagi 70km/h,labda ikizidi sana 80km/h
 
mimi uendeshaji wangu,sivukagi 70km/h,labda ikizidi sana 80km/h
Mitaa iyo iyo ndio patamu. Kuna kitu kinaitwa hypermilling nayo ni skills nzuri ya kusave wese.

Yaani unaendesha hadi 80 kmph mfano, hafu unatoa mguu kwenye accelerator gari inakua inaenda uku inashuka speed tena ikifika 60 kmph mfano unakanyaga tena very smooth ivo ivo.

Kwenye highway safari ndefu inasaidia sana.

Pia, ukiona kibao cha 50 mfano kipo mbelee kuleee au unataka kusimama, unaachia wese mapema gari inakua inapunguza speed yenyewe huna haja ya kukanyaga breki. Hii inasaidia kutunza breki na wese kwa Pamoja.

Pia usiwe mtu wa mguu mzito (heavy foot) kama madereva wa Subaru.
 
eti mkuu ni speed/rpm ipi kwa gari ndogo ulaji wa mafuta unakuwa mzuri sana.
ukiongeza speed rpm pia inaongezeka so lazima ubalance speed au rpm
good consumption inakua kwenye 2rpm ambapo apo unaongelea speed ya 70 mpk 80
ukizid apo rpm inasogea mpk 3 hapa ulaji wake pia sio mbaya ambapo apa inafika maximum 120
ukizid apa rpm inasogea mpk 4 apo inaharibu sana fuel economy
ila tutafute hela maana mtu unawaza rpm kuliko utamu wa safari njaa mbaya

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
ukiongeza speed rpm pia inaongezeka so lazima ubalance speed au rpm
good consumption inakua kwenye 2rpm ambapo apo unaongelea speed ya 70 mpk 80
ukizid apo rpm inasogea mpk 3 hapa ulaji wake pia sio mbaya ambapo apa inafika maximum 120
ukizid apa rpm inasogea mpk 4 apo inaharibu sana fuel economy
ila tutafute hela maana mtu unawaza rpm kuliko utamu wa safari njaa mbaya

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
asante mkuu,ila mpaka mtu amenunua gari,manaake ametafuta hela,pia mimbio kwa gari sio utamu wa safari mkuu..
 
Runx na Allex yote sawa tu, nilikua na Runx 1.5 1NZ FE kwa miaka 4 haijawahi nifanya mbaya.

Ulaji wa mafuta ni mzuri, spare zinapatikana, ina balance, cheap maintenance..
Vipi starlet boss
 
Ist inauzwa ikon katika hali nzuri
IMG-20231023-WA0015.jpg
IMG-20231023-WA0014.jpg
 
Back
Top Bottom