Bounty hunter
JF-Expert Member
- Feb 2, 2021
- 523
- 652
ngoja nimuoneshe boss mmoja hv alikua anahitaji ist nzuri
Sio mtazamo wako mkuu.hoja nzuri sana,na ni ushauri mzuri,ila kwa nchi maskini za kiafrika,hata gari kama toyota sterlet zilizoachwa kutengenezwa,miaka ya 2000 kushuka chini,bado gari ni nyingi mtaani,na spea zimejaa tele,sembuse gari za 2004?kwa mtazamo wangu,asilimia zaidi ya 70,ya gari zilizopo tz,ni za miaka 2010 kushuka chini.
Sawa boss nashukuru utapata gawio ukimleta mkuungoja nimuoneshe boss mmoja hv alikua anahitaji ist nzuri
ndio kazi zetu hizi kaka naelewa utaratibu vzuriSawa boss nashukuru utapata gawio ukimleta mkuu
Yeah nipo darndio kazi zetu hizi kaka naelewa utaratibu vzuri
upo dar?